Maandalizi mashindano Kanda ya Tano mambo ni moto! Chama cha Mchezo wa Kikapu Tanzania [TBF], imeanza kukarabati Uwanja wa Ndani wa Taifa utakaotumika kuchezewa mashindano ya mpira wa kikapu ya Kanda ya Tano ya Afrika.
Mzee Majuto kuagwa saa 8 mchana leo viwanja vya Karimjee Muigizaji wa kwanza kuandaa kazi zake katika mikanda na kuuza akiwa na Tanzania Film Company ( TFC).
Ibrahim Ajib aipa Yanga bao la kideo Taifa Mbao iliweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza kuizima Simba kwa kuilaza bao 1-0 CCM Kirumba.
Mke wa Kaseja ashinda tuzo AWAFFEST Mke wa kipa, Juma Kaseja ameshinda tuzo ya wanawake katika masuala ya kuwaremba watu, huku akieleza ana deni kubwa kwa walaiomuamini
Caicedo ni pengo kubwa Chelsea CHELSEA iliweza kupambana jino kwa jino na vinara wa Ligi Kuu England, Arsenal baada ya kumpoteza kiungo Moises Caicedo, lakini ilikuja kuonyesha kiwango cha hovyo dhidi ya timu inayopambana...
Amorim asema kitu kuhusu Mainoo KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amekubali kwamba kitendo cha Kobbie Mainoo kukosa muda wa kutosha wa kucheza umemfanya mchezaji huyo aathirike kisaikolojia.
Majeruhi Arsenal, Arteta anazidi kuvurugwa MIKEL Arteta amesema Arsenal ipo kwenye hali ya hatari kutokana na kuandamwa na majeruhi mfululizo kikosini.
Wenger kawajaza England, kisha kawakataa KOCHA, Arsene Wenger amesema England inaweza kushinda Kombe la Dunia, lakini amekiri kikosi cha Three Lions haina ubora kama Ufaransa.
Duh! Yaya Toure bado ana bifu na Guardiola KIUNGO, Yaya Toure ameamsha upya bifu lake na kocha Pep Guardiola na kumwita majina mabaya Mhispaniola huyo wakati alipofanyiwa mahojiano.
Dharau zamponza Garnacho, awekwa benchi dhidi ya Atalanta ALEJANDRO Garnacho ameishia kuwekwa benchini kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kati ya Chelsea na Atalanta kutokana na kile alichokizungumza kwenye mkutano wa waandishi wa habari.