Barcelona, Real Madrid bado zinamhitaji Rodri MANCHESTER City inakabiliwa na presha kubwa ya kumbakisha kiungo wake wa kimataifa wa Hispania, Rodri, 29, kuelekea dirisha lijalo la majira ya kiangazi, baada ya vigogo wa La Liga, Real Madrid...
Kocha Mtibwa Sugar alia na mabeki KOCHA Mkuu wa Mtibwa Sugar, Yusuf Chipo amelia na safu ya ulinzi kurudia makosa, huku akisisitiza wamekutana na timu bora ambayo imetumia udhaifu walionao kuwaadhibu na sasa wanaenda kujipanga...
Adebayor ainyima ubingwa Arsenal, ataja sababu za kuipa Man City ALIYEKUWA nahodha na mshambuliaji timu ya taifa ya Togo, Emmanuel Adebayor, amesisitiza kuwa Manchester City itaibuka bingwa wa taji la Ligi Kuu ya England msimu huu, licha ya Arsenal kuongoza...
Antony aangua kilio kisa kukosa bao WINGA wa Kibrazili, Antony hakuwa na namna nyingine zaidi ya kumwaga tu machozi baada ya kushindwa kufunga bao la ushindi kwa Real Betis dhidi ya Rayo Vallecano inayopambana kukwepa kushuka daraja.
Coastal Union wapo kamili gado Ligi Kuu Bara WAKATI ikijiandaa kwa ajili ya mechi za duru la pili la Ligi Kuu Bara, kocha mkuu wa Coastal Union, Mohammed Muya amesema 'Wagosi wa Kaya wameimarika' na wapo tayari kwa vita ya ngwe ya lala...
Jurgen Klopp amfuta kazi kocha mwingine JURGEN Klopp amefanya uamuzi mwingine mzito kwa mara ya pili ndani ya wiki moja katika nafasi yake mpya kama mkuu wa soka wa kimataifa wa kampuni ya Red Bull GmbH baada ya kumfuta kazi kocha...
Ushindi wampa jeuri Mkenya Singida Black Stars USHINDI wa mabao 3-1 iliyoupata Singida Black Stars ikiwa ugenini dhidi ya Mtibwa Sugar, umempa jeuri kocha Mkenya, David Ouma akiamini kwamba umeiongezea timu morali kwa ajili ya mechi ijayo...
Cunha ajifunza mapigano kudhibiti hasira uwanjani STAA wa Manchester United, Matheus Cunha amekuza makali yake uwanjani kwa kujifunza sanaa ya mapigano ya Kibrazili, Jiu Jitsu.
Mbio za ubingwa EPL, Gary Neville aipa mbinu mpya Arsenal Beki na nahodha wa zamani wa Manchester United, Gary Neville, amesisitiza kuwa Arsenal lazima waibuke na ushindi dhidi ya Manchester City katika Uwanja wa Etihad iwapo wanataka kuwa mabingwa wa...
Baada ya kukiwasha dhidi ya Spurs, Arteta afichua hasira za Eze KOCHA Mkuu wa Arsenal, Mikel Arteta, amedai kuwa kiungo Eberechi Eze, alikuwa na hisia za kukasirishwa na hatua ya kucheza mechi chache hivi karibuni.