Ile Ishu ya Mo Salah, Wasaudia wajiondoa STAA wa Liverpool na timu ya taifa ya Misri, Mohamed Salah ataendelea kubaki Liverpool hata baada ya dirisha la usajili la Januari, kutokana na kujiondoa kwa klabu za Saudi Arabia katika vita ya...
Nigeria yapata pigo, kabla ya kuivaa Msumbiji NDOTO ya Nigeria ya kutwaa taji la nne la michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) imepata pigo baada ya Cyriel Dessers na Ryan Alebiosu kuumia.
Mbappe majanga Madrid, kukaa nje siku 21 MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Kylian Mbappe anaripotiwa atakuwa nje ya uwanja kwa walau wiki tatu, kutokana na jeraha la goti la kushoto.
Enzo Maresca, Chelsea lolote linaweza kutokea KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca yuko tayari kujiuzulu kuifundisha timu hiyo kufuatia mgogoro mkubwa uliotokea kati yake na bodi ya klabu hiyo.
Shabiki anayemwigiza Lumumba ashangaza AFCON SHABIKI mmoja wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) amesambaa kwa kasi mitandaoni kutokana na heshima ya kipekee aliyotoa katikati ya mchezo kwa Waziri Mkuu wa kwanza wa nchi hiyo, Patrice...
Dah! Sir Alex… Safari ya maumivu, uvumilivu na upendo usioyumba KWA mashabiki wa Manchester United, Sir Alex Ferguson daima amekuwa mfano wa nguvu na ustahimilivu.
Kocha: Mbeumo anajipa presha mwenyewe KOCHA wa timu ya taifa ya Cameroon, David Pagou amesema mshambuliaji Bryan Mbeumo anapenda kucheza kwa uhuru, lakini kwa sasa anajiwekea presha kubwa sana katika harakati za kufanya vizuri kwenye...
Lisandro Martinez... Hii siyo poa! BEKI wa Manchester United, Lisadro Martinez amekuwa na hasira baada ya timu hiyo kufanya uzembe na kutoka sare ya 1-1 nyumbani dhidi ya timu inayoburuza mkia kwenye msimamo wa Ligi Kuu England...
Juventus yajipanga kumnyakua Federico Chiesa Liverpool JUVENTUS inatafakari uwezekano wa kumrejesha Italia aliyekuwa staa wake, Federico Chiesa, 28, ambaye kwa sasa yupo Liverpool.
Unai Emery akimbia kipigo kizito Arsenal UNAI Emery ametoweka kwenye benchi lake baada ya filimbi ya mwisho ya mchezo ambao kikosi chake cha Aston Villa kilikumbana na kipigo kizito kutoka kwa Arsenal.