Ugarte kajiweka kwa X wa Mbappe STAA mpya wa Manchester United, Matheus Cunha amedhamiria kumshawishi kocha Ruben Amorim katika siku yake ya kwanza ya ‘pre-season’ huko Carrington, Jumatatu.
UEFA yafanya mabadiliko mengine Ligi ya Mabingwa SHIRIKISHO la soka la Ulaya (UEFA) limepanga kufanya mabadiliko mengine kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya ikiwa ni mwaka mmoja tu tangu walipoanzisha mfumo mpya wa michuano hiyo.
Sarr alipia bili ya umeme kijijini kwao Senegal KIUNGO staa wa Tottenham Hotspur, Pape Matar Sarr amelipa pesa kugharimia umeme wa kijiji kizima huko kwao Senegal.
Watano tayari Man United KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim tayari amewapa ujumbe wa kutafuta timu nyingine mastaa watano wa miamba hiyo ya Old Trafford akiwamo Jadon Sancho anayetajwa ndiye atakuwa wa kwanza...
Man United ikizubaa kwa Mbeumo, italia MANCHESTER United inakabiliwa na ishu nyingine kwenye mpango wao wa kumsajili staa wa Brentford, Bryan Mbeumo katika kipindi cha dirisha hili la usajili wa majira ya kiangazi.
Kiungo mpya Arsenal aanza kwa masharti KIUNGO mpya wa Arsenal, Christian Norgaard matumani yake ni kuendelea kucheza soka la kushambulia zaidi na siyo kukaba baada ya kukamilisha uhamisho wake wa Pauni 12 milioni huko Emirates.
Alonso kupiga bei kibao Real Madrid REAL Madrid imeripotiwa kuanza kupokea ofa kwa ajili ya mastaa wake watatu, Rodrygo, Brahim Diaz na Dani Ceballos ambao imepanga kuwapiga bei kwenye dirisha hili la majira ya kiangazi baada ya...
Jezi Namba 10 yamlevya Cunha STAA mpya wa Manchester United, Matheus Cunha amefichua alibadilishana jezi na Marcus Rashford ili kuwa na jezi Namba 10 ya timu hiyo nyumbani siku kadhaa kabla ya kutua Old Trafford na...
Kiungo mpya alia kisa jezi ya Arsenal KIUNGO Christian Norgaard ameangua kilio kwa kushindwa kuamini baada ya kutinga uzi wa Arsenal sambamba na mwanaye wa kiume katika tukio la kupiga picha.
Mbeumo apenda posti ya mazoezini Man United STAA Bryan Mbeumo amebonyeza kitufe kilichoandikwa 'like' kwenye posti ya beki wa Manchester United, Leny Yoro, aliyoposti huko kwenye Instagram akithibitisha kurejea mazoezini kitu ambacho...