Mastaa hawa 13 wapambania maisha LIGI Kuu England imebakiza mechi tisa tu huku kukiwa na orodha ya mastaa kibao wanaopambania maisha yao kujua hatima yao kwa msimu ujao.
Mlinzi wa Messi apigwa stop! MLINZI wa supastaa Lionel Messi, Yassine Chueko amepigwa marufuku kukaa pembezoni mwa uwanja huko MLS.
PRIME Kocha Yanga amshtukia Ikangalombo YANGA inacheza na Songea United Jumamosi hii saa 10 jioni kwenye mechi ya FA. Lakini Kocha Hamdi Miloud kuna kitu amekiona kwa winga Mkongomani aliyesajiliwa dirisha dogo, Jonathan Ikangalombo...
Madrid yamkataza Trent kutumia gari lake REAL Madrid imemkataza Trent Alexander-Arnold kupeleka Hispania gari yake ya kifahari baada ya kujiunga na timu hiyo akitokea Liverpool.
Duh! Sikia hii ya Balotelli MAISHA yanakwenda kasi sana. Ndiyo hivyo, straika Mario Balotelli yupo kwenye hatua za mwisho za kujiunga na timu ya Daraja la Tatu huko Hispania.
Arsenal mzuka, bei ya Sesko yashuka ARSENAL imepata mzuka kwenye mchakamchaka wa kumfukuzia straika Benjamin Sesko baada ya klabu ya RB Leipzig kuripotiwa kushusha bei.
Liverpool yahamia kwa Osimhen LIVERPOOL imemwongeza Victor Osimhen kwenye orodha ya mastraika inaowasaka kwa ajili ya kuwaongeza kwenye kikosi msimu huu sambamba na Alexander Isak na Hugo Ekitike.
Morice mikononi mwa mabosi wa Simba KLABU ya Simba imetoa mapumziko kwa wachezaji wake, lakini kabla ya kurejea na kuanza maandalizi ya msimu mpya, jambo moja kubwa linaendelea chini kwa chini katika suala la usajili.
Haaland amvuta kipa Bounou Man City STRAIKA Erling Haaland ameonekana kumshawishi kijanja kipa Yassine Bounou ajiunge Manchester City baada ya kuisaidia Al-Hilal kuiondoa miamba hiyo ya Ligi Kuu England fainali za Kombe la Dunia la...
Man City, Jack Grealish hakijaeleweka LICHA ya kutomjumuishwa katika kikosi kilichokwenda kucheza mashindano ya Kombe la Dunia kwa Klabu Marekani, staa wa Manchester City Jack Grealish hadi sasa bado hajapata timu.