Jux, Priscilla wapata mtoto wa kiume, ataitwa Prince Rakeem Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Juma Mkambala 'Jux' na mke wake Priscilla wamebarikiwa kupata mtoto wao wa kwanza wakiume aliyezaliwa huko nchini Canada na kumpatia jina la Rakeem Ayomide...
Huyo Cristiano Ronaldo ni mabao tu SUPASTAA, Cristiano Ronaldo amekuwa mchezaji wa kwanza kwenye historia ya soka kufunga mabao 100 au zaidi katika klabu nne tofauti, lakini bado ameshindwa kuisaidia timu yake kubeba taji la Saudi...
Real Madrid yavamia kwa Wharton REAL Madrid imeingia kwenye mbio za kufukuzia saini ya staa wa Crystal Palace, Adam Wharton kwa mujibu wa taarifa kutoka Marekani.
De Ligt: Amorim? tupo naye BEKI wa kati wa Manchester United, Matthijs de Ligt amesisitiza wachezaji wa timu hiyo wanampa sapoti kubwa Kocha Ruben Amorim na wanamtaka abaki.
Garnacho atupa kijembe Man United STAA Alejandro Garnacho amefunguka kwa mara ya kwanza baada ya kujiunga na Chelsea akijaribu kuwaambia Manchester United kile ambacho watakosa baada ya kutua zake Stamford Bridge.
Mcongo anyemelewa, Dodoma Jiji ikiachana na Mexime Mmoja wa watu wa karibu wa Kizmak ameiambia Mwananchi Digital kuwa kocha huyo raia wa DR Congo amefikia mahali pazuri katika mazungumzo yake na Dodoma Jiji FC.
Alisson aondoka kambini Liverpool KIPA wa Liverpool, Alisson Becker ameripotiwa kuondoka kwenye kambi ya timu hiyo katika ziara yao ya pre-season huko Asia kutokana na kuwa na matatizo binafsi.
Saliba awapa mzuka Arsenal BEKI wa boli, William Saliba amewapa mashabiki wa Arsenal matumaini makubwa baada ya kufunguka yupo kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba mpya kwenye timu hiyo ili aendelezea mapambano ya kusaka...
Jurgen Klopp anarudi uwanjani KOCHA wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp inadaiwa anafikiria kurejea katika kazi yake hiyo ikiwa ni mwaka mmoja tu tangu alipoondoka Anfield mwishoni mwa msimu wa 2023/24.
Liverpool kwa Alexander-Arnold njia ni hii MCHEZAJI wa zamani wa Liverpool, Stephen Warnock anaamini bado kuna nafasi Trent Alexander-Arnold akaendelea kubaki Anfield msimu ujao.