Mo Salah amkaribisha De Bruyne Liverpool MSHAMBULIAJI wa Liverpool, Mohamed Salah amemkaribisha kiungo wa Manchester City, Kevin De Bruyne katika kikosi chao katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Arteta: Msimu ujao hatukosei tena KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amefichua alitarajia Arsenal kushinda taji la Ligi Kuu England katika mechi yao ya mwisho nyumbani msimu huu na sasa amepanga kufanya usajili wa kishindo dirisha...
Kipa Martinez ashtua wengi KIPA Emi Martinez amemwaga machozi na kisha kuonyesha ishara ya kuaga kwa kuwapungia mkono mashabiki wa Aston Villa baada ya ushindi dhidi ya Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Ligi Kuu England...
Rais Mwinyi aibeba Simba, alipia gharama zote Amaan RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi, ametoa zawadi maalum kwa timu ya Simba kwa kugharamia matumizi ya Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Unguja...
Kumbe Rodrygo alikataa kucheza El Clasico STAA wa Real Madrid, Rodrgyo imeripotiwa kugomea kucheza mechi ya El Clasico baada ya kutibuana na wachezaji wenzake kikosini.
Chelsea kuchagua yenyewe Ulaya NDO hivyo. Chelsea italazimika kuchagua inataka kucheza michuano gani msimu ujao, Ligi ya Mabingwa Ulaya au Europa League.
Man United kuchoma nyama ikibeba ubingwa HABARI ndo hiyo. Manchester United itaachana na mpango wa kutembeza kombe kwenye basi la wazi juu na badala yake itachoma tu nyama endapo kama itaichapa Tottenham Hotspur kwenye fainali ya Europa...
Rodrygo kuzua vita kali England STAA wa Kibrazili, Rodrygo yupo tayari kuachana na Real Madrid baada ya kuona anawekwa kando huku klabu hiyo ikionekana kuweka upendeleo kwa wachezaji Jude Bellingham na Kylian Mbappe.
Man City kuvunja rekodi kwa Wirtz KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola afanya mazungumzo na kiungo mchezeshaji Florian Wirtz wakati miamba hiyo ya Etihad ikitaka kuweka rekodi ya kumnasa Mjerumani huyo kwa Pauni 126 milioni.
Gyokeres kasema kitu Arsenal ikimtaka STRAIKA, Viktor Gyokeres amevunja ukimya baada ya Arsenal kumfanya kuwa chaguo la kwanza kwenye usajili wa dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi.