Jamie Carragher ataja kumi wenye uhakika England JAMIE Carragher amewaacha Cole Palmer na Phil Foden kwenye orodha yake ya wachezaji kumi wa "uhakika" wa timu ya taifa ya England kwa ajili ya fainali za Kombe la Dunia 2026.
Pengo la Dorgu litakavyozibwa Man United MICHAEL Carrick amekumbana na changamoto ya kwanza kubwa kama kocha wa muda wa Manchester United baada ya kuthibitishwa kuwa Patrick Dorgu atakuwa nje ya uwanja kwa wiki 10 kutokana na jeraha la...
Kocha Chelsea aonya kuhusu Cole Palmer KOCHA, Liam Rosenior ameonya kwamba Cole Palmer hagusiki kabisa Chelsea, licha ya hofu kubwa kuibuka kuwa yuko tayari kujiunga na Manchester United.
Baba'ke Ndidi afariki ajalini BABA wa kiungo wa Nigeria, Wilfred Ndidi amefariki dunia katika ajali ya gari.
Kompyuta inasema... We nani ubishe, Arsenal bingwa EPL ARSENAL itatwaa ubingwa wa Ligi Kuu England licha ya kupoteza dhidi ya Manchester United Jumapili, kwa mujibu wa utabiri wa kompyuta maalumu.
Raheem Sterling anukia Roma TIMU kadhaa kutoka Italia ikiwemo Napoli na AS Roma zimeonyesha nia ya kutaka kumsajili mshambuliaji wa Chelsea na timu ya taifa ya England, Raheem Sterling, 31.
Kipigo cha Yanga bado kinamtesa Mayanga KIPIGO cha mabao 6-0 dhidi ya Yanga ugenini, bado kinaendelea kulitesa benchi la ufundi la Mashujaa FC baada ya kocha mkuu wa timu hiyo, Salum Mayanga kufichua kwamba walifanya makosa ambayo bado...
Ouma: Tunakwenda Kongo kuchukua pointi tatu KIKOSI cha wachezaji 21 cha Singida Black Stars, kimeelekea nchini Congo kucheza mechi ya nne hatua ya makundi katika Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Otoho d’Oyo itakayofanyika Februari 1, 2026.