Balaa la Bruno Fernandes Manchester United! BRUNO Fernandes hachezi mpira. Bali anafikiria mpira. Kwa kile anachokifanya ndani ya uwanja, basi tu hapewi sifa anazostahiki. Mreno huyo ni fundi wa boli na mara zote amekuwa akifanya mambo...
Kobbie Mainoo amuumbua Ruben Amorim RUBEN Amorim aliamini Kobbie Mainoo hangeweza kucheza sambamba na Casemiro akiona hana nguvu, kasi wala uzoefu.
Dah! Merino atibua hesabu huko Arsenal STAA wa Arsenal, Mikel Merino anatarajiwa kuwa nje ya uwanja muda mrefu kwa jeraha la mguu linalohitaji upasuaji.
Jude Bellingham azua presha England JUDE Bellingham ameshindwa kujizuia na kuangua kulia baada ya kulazimika kutolewa nje kutokana na jeraha la misuli ya paja akiwa na Real Madrid.
Jamie O'Hara aibua mjadala akiitaja Arsenal JE, unaweza kuyachukua maoni ya mpinzani wako na kuyapa kipaumbele? Hilo swali linalowahusu Arsenal kwa sasa kutokana na kile kilichosemwa na kiungo wa zamani wa Tottenham Hotspur, ambao ni...
Guede ajiapiza Singida Black Stars LICHA ya kupoteza mchezo kwa mabao 2-1 ugenini dhidi ya AS Otoho, mshambuliaji Joseph Guede amesema bado wana nafasi ya kufanya vizuri na kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho...
Solanke afunga bao la kideo kama Giroud STRAIKA Dominic Solanke huenda amefunga bao la msimu baada ya kusawazisha kwa njia ya ubunifu wa hali ya juu dhidi ya Manchester City.
Simba yalaani Mangungu kufanyiwa vurugu Benjamin Mkapa Uongozi wa Simba umelaani vitendo vya vurugu alivyofanyiwa Mwenyekiti wa Klabu hiyo, Murtaza Mangungu baada ya kumalizika kwa mchezo baina yao na Esperance ya Tunisia, leo Jumapili, Februari...
Kocha Yanga afichua siri, akisaka rekodi Uarabuni ACHANA na matokeo ya jioni ya leo ugenini dhidi ya Stellenbosch ya Afrika Kusini katika mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika, kocha wa zamani wa Yanga, Sead Ramovic amefichua siri inayombeba...
Mwamba Jet LI unajua maisha yake kwa sasa? WIKI iliyopita, staa wa filamu za mapigano duniani, Jet Li, alitajwa sana kwenye vyombo vya habari amepewa ofa nono na baadhi ya kampuni kwa ajili ya kuigiza tena, baada ya kusimama kwa muda mrefu.