Rooney: Alexander Isak ajilaumu mwenyewe GWIJI, Wayne Rooney amesema hana huruma kwa straika Alexander Isak, akidai mchezaji huyo ndiye wa kujilaumu mwenyewe baada ya kushuhudia uhamisho wake wa kuvunja rekodi ya Uingereza kwenda...
Anayekipiga nje ataja watatu WBDL SUPASTAA wa zamani wa timu DB Lioness, Orlyne Londo aliyetimkia Bravehearts ya Malawi inayoshiriki Ligi ya Kikapu nchini humo amewataja Jesca Lenga wa DB Troncatti, Jesca Ngisaise (JKT Stars) na...
Hizi hapa ratiba tatu ngumu NBA hadi ubingwa KWA kawaida Ligi ya Kikapu Marekani ina ratiba tatu ngumu. Kwanza kuna kipindi cha timu zote kucheza katika kanda zao yaani Mashariki na Maghariki na hiki huwa ni kati ya Oktoba hadi Aprili...
Raheem Sterling anahitaji simu moja tu! DIRISHA la usajili linafungwa leo, lakini bado kuna wachezaji wenye ubora mkubwa wanaopatikana kusajiliwa bila ada katika soko la uhamisho wa wachezaji huru na kinachotakiwa ni simu yako tu...
Ukonga Kings imerudi Ligi ya Kikapu Dar TIMU ya Ukonga Kings imerejea katika Ligi Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), baada ya kuifumua Magone kwa mechi 2-0 katika nusu fainali ya Ligi Daraja la Kwanza, na hivyo kujihakikishia nafasi...
NJIAPANDA: Utabiri wa wapi mastaa hawa wataenda mikataba yao ikimalizika mwisho wa msimu KILA mwaka, mikataba inayomalizika huleta hatari kwa baadhi ya klabu huku ikifungua milango kwa wachezaji wakubwa kujiunga na timu mpya, wengine wakichagua kumaliza mikataba yao kabla ya kuondoka.
Simba anzeni upya, utulivu unahitajika HUU ni wakati sasa kwa Klabu ya Simba kufanya tathimini ya kina na kuanza upya kwa umakini mkubwa kuelekea msimu ujao wa mashindano.
Endrick apiganiwa England, Madrid yashikilia hatima TOTTENHAM, Leeds United na Sunderland ni miongoni mwa klabu zinazomfuatilia kwa karibu mshambuliaji chipukizi wa Real Madrid na timu ya taifa ya Brazil, Endrick Felipe, 19, ambaye kwa sasa...