Wawili watia presha Arsenal MASTAA Martin Zubimendi na Ben White wanampa presha kocha Mikel Arteta baada ya kudaiwa kuwa majeruhi wakati kikosi cha Arsenal kikijiandaa na mechi ya Ligi Kuu England dhidi ya Fulham.
Pogba, Monaco mambo yanazidi kuwa magumu KIUNGO Paul Pogba bado hajacheza mechi yoyote kwenye klabu yake mpya huko AS Monaoc, lakini huenda asipate kabisa nafasi ya kucheza chini ya kocha aliyemnunua huko Stade Louis II.
Nairobi United yawazima mabingwa wa zamani wa CAF WAWAKILISHI wa Kenya katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, Nairobi United jioni hii imewaduwaza mabingwa wa zamani wa Afrika, Etoile du Sahel ya Tunisia kwa kuichapa mabao 2-0.
Offset: Nilimsaliti Cardi B, ila sio na Saweetie RAPA maarufu, Offset amevunja ukimya kuhusu uvumi unaomhusisha na msanii Saweetie, akikanusha vikali madai kuwa aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mrembo huo.
Zubimendi afichua alivyotua Arsenal, amtaja Arteta KIUNGO, Martin Zubimendi amefichua kwamba simu moja tu aliyopigiwa na kocha Mikel Arteta ilimfanya ashawishike na kwenda kujiunga na Arsenal kwenye uhamisho wa dirisha lililopita.
Guehi, FC Bayern Munich kuna jambo MAWAKALA wa beki wa kati, Marc Guehi wameripotiwa kukutana na mabosi wa Bayern Munich kwa ajili ya kufanikisha uhamisho wa bure kwenye dirisha lijalo la majira ya kiangazi baada ya kufanya uamuzi...
Huyu ndiye Dimitar Pantev, kocha mpya Simba Ndani ya muda mfupi kuanzia sasa, Simba itamtambulisha Dimitar Pantev kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo akirithi mikoba iliyoachwa wazi na Fadlu Davids aliyetimkia Raja Casablanca ya Morocco.
Ronaldo aandaliwa ulinzi maalum India POLISI wa Goa huko India wametoa taarifa kuhusu mipango ya usalama iwapo Cristiano Ronaldo atasafiri na klabu yake ya Al-Nassr kwa ajili ya mechi ya Ligi ya Mabingwa Asia dhidi ya FC Goa.
Sergio Busquets aagwa rasmi Inter Miami Klabu ya Inter Miami, rasmi imemuaga kiungo wa Hispania Sergio Busquets, ambaye atastaafu soka mwishoni mwa msimu huu.
Mashabiki waiponza Leeds United, FA yaanza uchunguzi Chama cha Soka England (FA) kimeanza kufanya uchunguzi dhidi ya mashabiki wa Leeds United baada ya vurugu zilizojitokeza wakati wa mechi ya Ligi Kuu ya EPL dhidi ya Tottenham iliyopigwa jana...