Mourinho amvulia kofia Pedro Neto Kocha wa Benfica, Jose Mourinho, amemsifu nyota wa Chelsea, Pedro Lomba Neto, kama mmoja wa wachezaji bora zaidi duniani kwa sasa, kufuatia kauli ya kiungo huyo kutamani kucheza chini ya uongozi...
Arajiga, Mkono kuchezesha Cape Verde v Eswatini Marefa wanne wa Tanzania wamepangwa kuchezesha mechi inayoweza kuwa ya uamuzi katika mashindano ya kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 baina ya Cape Verde na Eswatini.
Romário: Nitaipenda Barcelona hadi kufa kwangu Gwiji wa Barcelona, Romário de Souza Faria, amefichua kwamba angechagua kuiwakilisha Argentina badala ya kuchezea Real Madrid, jambo linaloonyesha uhusiano wake wa dhati na klabu ya Barcelona ni...
Mikel Arteta kuja na mbinu ya kivita KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amefichua yupo katika mpango wa kushirikiana na marubani wa ndege za kivita wa jeshi la Uingereza ili kubuni njia mpya ya mawasiliano kwa wachezaji wake wanapokuwa...
Ingwe yapata ushindi wa kwanza Kenya yaizima KCB ya Matano MABINGWA wa zamani wa Kenya na Afrika Mashariki na Kati, AFC Leopards 'Ingwe' jioni hii imepata ushindi wa kwanza katika Ligi Kuu (KPL) dhidi ya vijana wa Robert Matano, KCB.eboyz ikiwa nyumbani...
Neville atuma ujumbe kwa Mikel Arteta LEJENDI wa Manchester United na mchambuzi wa soka, Gary Neville amedai kwamba Mikel Arteta atajutia kutokubali kwamba ana woga katika kushambulia jambo ambalo lilionekana katika mechi iliyopita...
Kocha Barca kichwa kinauma KOCHA wa Barcelona, Hansi Flick anakabiliwa na kibarua kigumu cha uchaguzi wa kikosi kabla ya mtanange muhimu wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Paris Saint-Germain.
Nwabali: Super Eagles itatwaa ubingwa AFCON 2025 Kipa wa timu ya taifa ya Nigeria, Super Eagles, Stanley Nwabali amesisitiza kuwa kikosi chao kina uwezo mkubwa wa kutwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025.
Zanzibar International Marathon ni Novemba 23 MASHINDANO ya kukimbia yaliyopewa jina la Yas Zanzibar International Marathon yamepangwa kufanyika Novemba 23 Novemba 2025 yakiwa na kauli mbiu ya “Kila Hatua ni Special.”