Ticha, mwanafunzi kuonyeshana ubabe ARSENAL na Manchester City zitakutana katika fainali ya Kombe la Ligi mwezi ujao, pambano litakalomkutanisha mwanafunzi Mikel Arteta dhidi ya mwalimu wake Pep Guardiola.
Ndayiragije afurahia kuwanasa kina Nkane KOCHA Mkuu wa TRA United, Etienne Ndayiragije, amesema maboresho yaliyofanywa na kikosi hicho katika dirisha dogo la usajili yamezingatia mahitaji, na ana matarajio makubwa na nyota wote...
Upamecano apewa ofa nono Bayern Munich BEKI wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ufaransa, Dayot Upamecano, 27, yupo tayari kusaini mkataba mpya na Bayern ambao utamfanya abaki hadi Juni 2030.
Pogba mambo yazidi kwenda mrama MAISHA yamezidi kuwa magumu kwa staa na kiungo wa zamani wa Manchester United, Paul Pogba ambaye, amepata pigo jingine baada ya kuondolewa kwenye kikosi cha Monaco kitakachoshiriki hatua za...
Messi aanza mazungumzo kurudi Newell’s STAA wa Inter Miami ya Marekani, Lionel Messi yupo katika mazungumzo na klabu yake ya utotoni, Newell’s Old Boys, ambayo imevutiwa zaidi baada ya staa huyo kuthibitisha ndoto yake ni kuichezea...
Jude Bellingham afunguka kuhusu jeraha STAA wa Real Madrid, Jude Bellingham ametoa ujumbe wa maneno matatu kuhusu maendeleo ya jeraha lake la msuli wa nyuma ya paja (hamstring) alilopata katika mechi dhidi ya Rayo Vallecano.
Kombe la Dunia linaweza kuondoka Marekani? IKO HIVI SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) linaweza kuwa na uwezo wa kuiondolea Marekani haki ya kuwa mwenyeji wa Kombe la Dunia la FIFA 2026, ikiwa moja kati ya vipengele katika mkataba wa...
Kilichosbabisha kifo cha beki wa Kakamega FAMILIA ya soka nchini Kenya imeingia katika maombolezo mazito kufuatia kifo cha beki wa klabu ya Kakamega Homeboyz, Silas Abungana.
Zamu ya Kibu Denis kusepa Simba, Waarabu wamwaga mpunga Muda wowote kuanzia sasa, Simba itakamilisha makubaliano ya kumuuza mshambuliaji Kibu Denis kwenda Al Nasr ya Libya.