Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8488 results for Mwandishi Wetu :

  1. Simba yavuna pointi tatu, yaibanjua Coastal Union

    Simba imefanikiwa kusogea hadi nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na uahindi wa mabao 2-0 dhidi ya Coastal Union.

  2. Italia yasikilizia ofa ya mezani Kombe la Dunia

    TIMU ya taifa ya Italia ina matumaini madogo ya kushiriki fainali za Kombe la Dunia, mwaka huu, licha ya kutolewa kwa aibu na Bosnia katika mechi ya mchujo ya kuwania kufuzu, ambapo kwa sasa...

    ITALIA Pict
  3. Barca mambo magumu dili la Marcus Rashford

    BARCELONA italazimika kuanza upya mazungumzo na Manchester United ikiwa inahitaji kumsainisha mkataba wa moja kwa moja Marcus Rashford, baada ya ripoti za ndani kufichua kuwa kipengele...

    FUNUNU Pict
  4. Pep Guardiola apewa muda Man City

    MABOSI wa Manchester City wamempa muda wa kufikiria kocha Pep Guardiola kabla ya kujua kama ana mpango wa kumaliza mkataba au kuondoka mwishoni mwa msimu huu.

    GUARDIOLA Pict
  5. Maguire akalia kuti kavu, asubiri hukumu

    BEKI wa Manchester United, Harry Maguire ameitwa kwenye kamati ya nidhamu ya Chama cha Soka cha England kujibu mashtaka kutokana na jinsi alivyoonyesha utovu wa nidhamu baada ya kutolewa nje kwa...

    MAGUERE Pict
  6. Kauli ya Enzo Fernandez yaibua maswali Chelsea

    PILIKAPILIKA za usajili wa dirisha kubwa la wachezaji zimeshaanza kupamba moto huko Ulaya, ambako mastaa kibao wamekuwa wakihusishwa kubadili klabu, na wengine kulamba dili tamu msimu ujao. Na...

    ENZO Pict
  7. Liverpool yashusha pumzi kwa Isak

    STRAIKA wa Liverpool, Alexander Isak alirejea kwenye mazoezi kamili na kikosi hicho jana, Alhamisi, kwa mara ya kwanza mwaka huu, jambo linaloshusha pumzi kwa kocha Arne Slot, ambaye ana mechi...

    ISAK Pict
  8. Haaland aibuka mfungaji Bora kufuzu Kombe la Dunia

    Mshambuliaji wa Norway, Erling Haaland, amemaliza hatua ya makundi ya kufuzu Kombe la Dunia 2026 barani Ulaya akiwa kinara wa mabao, baada ya kufunga jumla ya mabao 16 na kuisaidia nchi yake...

  9. FIFA yathibitisha Iran kucheza Kombe la Dunia Marekani

    Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, amesisitiza kuwa timu ya taifa ya Iran itashiriki Kombe la Dunia kama ilivyopangwa, licha ya mvutano wa kivita unaoendelea huko...

  10. Majeraha yasiyopona hatari kubwa kwa wachezaji wanaotumika sana

    MWISHONI mwa wiki mbili zilizopita mpaka wiki hii, ligi mbalimbali duniani zilisimama ili kuwaruhusu wachezaji kushiriki mechi za kirafiki za kimataifa za FIFA.

Previous

Page 155 of 849

Next