Owen Hargreaves: Viungo watatu ni dawa Man United OWEN Hargreaves amesema Michael Carrick hatimaye ametatua tatizo la kiungo la Manchester United, akimsifu Bruno Fernandes kwa kiwango cha ajabu alichokiita ni cha kushtua kabisa.
Yanga kwenye presha, tatizo la kufunga likiwaandama CAFCL Wakielekea kwenye mechi yao ya mwisho ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF), Young Africans wanajua kuwa ni muujiza pekee ndio unaweza kuwaweka hai katika mashindano ya hayo.
Rashford, Barca sasa mambo freshi! BARCELONA imefikia makubaliano ya kumsainisha mkataba wa moja kwa moja mshambuliaji wa Manchester United na timu ya taifa ya England, Marcus Rashford, 28, anayecheza katika kikosi chao kwa mkopo...
Lamine Yamal avunja rekodi iliyomshinda Messi Barca HABARI ndo hiyo. Lamine Yamal amekuwa mchezaji mdogo zaidi katika historia ya FC Barcelona kufunga mabao 40 katika mashindano yote akiwa na klabu hiyo yenye maskani yake Camp Nou.
Imefichuka! Arsenal ni wazee kuliko Man United HIVI unajua kuwa Arsenal ni wazee kuliko Manchester United?
KMC yaongoza ‘ligi’ ya kujiweka KIKOSI cha KMC kinajindaa kushuka uwanjani jioni ya kesho Jumatano ikiwa wenyeji wa Simba katika mechi ya Ligi Kuu Bara, huku ikiwa ni kama imekumbwa na mdudu mbaya, kwani licha ya kuanza vibaya...
Waache wauwane! Vita kali ya Arsenal, Man City msimamo EPL NDO hivyo. Arsenal na Manchester City weka niweke. Miamba hiyo imetofautiana pointi sita tu kwenye msimamo wa Ligi Kuu England, jambo linaloashiria kuwapo kwa vita kali katika kusaka ubingwa wa...
Ian Wright: Ona Mainoo anavyomtia aibu Amorim KOCHA, Ruben Amorim amekosolewa vikali kufuatia kurejea kwa kiwango cha juu kwa kiungo chipukizi wa Manchester United, Kobbie Mainoo, chini ya uongozi wa Michael Carrick.
Ronaldo anabipu watu wanampigia AL-Nassr hawatamzuia Cristiano Ronaldo iwapo nyota huyo mwenye hasira ataamua kushikilia msimamo wa kuondoka wakati wa dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi, huku kipengele cha kuvunja...