Luka Modric aungana na kina Salah, Simons SUPASTAA wa zamani wa Real Madrid na mchezaji bora wa dunia 2018, Luka Modric ameungana na mastaa wa Liverpool, Mohamed Salah na wa Tottenham Hotspur, Xavi Simons kumaliza msimu kwa timu zao...
Inter Milan yatwaa ubingwa wa Copa Italia Ikiwa zimepita siku chache baada ya kutangazwa kuwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Italia ‘Seria A’, Klabu ya Inter Milan imeendelea kufanya kweli safari hii ikitwaa Kombe la Copa Italia baada ya...
Kipa azichanganya Liverpool, Chelsea CHELSEA na Liverpool zinadaiwa kuwa katika vita kali ya kuiwania saini ya kipa wa Sunderland, Robin Roefs dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Masharti ya Mourinho yakubaliwa Real Madrid REAL Madrid imeripotiwa kukubali masharti yote magumu ya kocha José Mourinho ili kufanikisha safari yake ya kurejea klabuni hapo.
Luka Modrić kuiongoza Croatia Kombe la Dunia 2026 Nahodha na kiungo Luka Modrić amejumuishwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Croatia kitakachoshiriki michuano ya Kombe la Dunia 2026.
Mashabiki West Ham wamshambulia David Sullivan Mashabiki wenye hasira wa West Ham United wamemgeukia mmiliki mwenza wa klabu hiyo, David Sullivan, baada ya timu hiyo kushuka Ligi Kuu England hadi Championship.
Conte atangaza kubwaga manyanga Napoli Kocha Antonio Conte ametangaza ataondoka Napoli msimu huu ikiwa ni miezi 12 baada ya kuiongoza klabu hiyo kutwaa ubingwa wa Serie A.
Gor Mahia yatwaa ubingwa wa Ligi ya Kenya 2025-26 TIMU ya Gor Mahia inayoshiriki Ligi Kuu ya Kenya, imetangazwa kuwa bingwa mpya wa ligi hiyo ikibakiza mechi mbili kumaliza msimu huu.
Milan walivyomtimua Massimiliano Allegri AC Milan wamemfuta kazi kocha Massimiliano Allegri baada ya kumaliza msimu vibaya, huku uongozi wa klabu ukiutaja kama kushindwa kulikotokana na namna benchi la ufundi lilivyokuwa likitekeleza...
Mkongwe wa soka Gabon auawa MWANASOKA wa zamani wa kimataifa wa Gabon, Yrondu Musavu-King, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 34 katika mazingira ambayo yameacha fumbo kuhusiana na kifo chake.