Laporta, Raphinha walalamika Barcelona RAIS wa Barcelona, Joan Laporta, amesema kuna njama za kuizuia klabu hiyo kushinda ligi kufuatia kile kilichotokea dhidi ya Girona.
Amad Diallo ampigia debe Michael Carrick kimtindo STAA wa Manchester United, Amad Diallo, amesisitiza umuhimu wa Michael Carrick kufuatia kuimarika kwa kiwango cha timu hiyo maarufu kama Mashetani Wekundu. Kiungo huyo wa zamani alikabidhiwa...
Wewe ni mchezaji unayefunga swaumu, soma hapa! KWA mara nyingine, waumini wa dini ya Kiislam na Kikristo wameingia katika kipindi muhimu cha ibada ya kufunga kama wanavyohimizwa na dini zao.
Ratiba yaanza kuwa chungu Manchester City MATUMAINI ya Arsenal kutwaa taji la Kombe la Ligi yameongezeka baada ya Manchester City kufahamu wapinzani wao katika hatua ya tano ya Kombe la FA jambo linalowafanya kukabiliwa na ratiba ngumu...
Mourinho: Kweli? Kila uwanja anaocheza Vini Jr una shida JOSE Mourinho amesema kwamba “kuna jambo hutokea” katika kila uwanja anaocheza Vinícius Júnior, baada ya nyota huyo wa Real Madrid kudai kuwa alitukanwa kwa misingi ya ubaguzi wa rangi na...
Saka asaini mkataba mpya Arsenal, kulipwa kibosi HABARI ndo hiyo. Bukayo Saka amesaini mkataba mpya wa miaka mitano kwenye klabu ya Arsenal na kumfanya kuwa mchezaji anayelipwa zaidi katika kikosi hicho chenye maskani yake Emirates.
Rekodi tamu za CP3 akisepa NBA KIZAZI cha mastaa wa mwanzoni mwa miaka 2000 katika Ligi ya Kikapu Marekani (NBA), ndiyo kinaondoka taratibu katika mashindano hayo ambayo yamekuwa yakichagizwa na ushawishi wa nyota kutoka...
Mgunda hataki kurudia makosa BAADA ya vipigo viwili mfululizo katika mechi za Ligi Kuu Bara, kocha mkuu wa Namungo, Juma Mgunda amesema hatarajii kurudia makosa kwenye pambno lijalo la michuano ya Kombe la Shikirikisho la...
Ouma atumia mechi za CAF kuitisha Copco FC KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, David Ouma amesema licha ya kushindwa kutinga robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, lakini wamepata somo zuri wanalotaka kuanza kulitumia kesho Alhamisi...
Mkenya Pamba Jiji hesabu kwa vigogo LICHA ya Pamba Jiji jioni ya leo kuwa na kibarua cha kukabiliana na Alliance FC katika mechi ya hatua ya 64 Bora ya Kombe la Shirikisho (FA), kocha wa timu hiyo Francis Baraza amesema akili na...