Rodrygo Liverpool, Dominic Szoboszlai Real Madrid LIVERPOOL inafikiria kufanya mabadilishano ya wachezaji na Real Madrid na itamchukua winga wa kimataifa wa Brazil, Rodrygo, 25, kutoka timu hiyo kisha wao kumwachia kiungo wao wa kimataifa wa...
James Milner wala hafikirii kutundika daruga KIRAKA James Milner ameashiria bado hajapanga kustaafu soka baada ya kuvunja rekodi ya muda wote ya idadi ya mechi nyingi zaidi katika Ligi Kuu England.
Barcelona, Real Madrid bado zinamhitaji Rodri MANCHESTER City inakabiliwa na presha kubwa ya kumbakisha kiungo wake wa kimataifa wa Hispania, Rodri, 29, kuelekea dirisha lijalo la majira ya kiangazi, baada ya vigogo wa La Liga, Real Madrid...
Kocha Mtibwa Sugar alia na mabeki KOCHA Mkuu wa Mtibwa Sugar, Yusuf Chipo amelia na safu ya ulinzi kurudia makosa, huku akisisitiza wamekutana na timu bora ambayo imetumia udhaifu walionao kuwaadhibu na sasa wanaenda kujipanga...
Adebayor ainyima ubingwa Arsenal, ataja sababu za kuipa Man City ALIYEKUWA nahodha na mshambuliaji timu ya taifa ya Togo, Emmanuel Adebayor, amesisitiza kuwa Manchester City itaibuka bingwa wa taji la Ligi Kuu ya England msimu huu, licha ya Arsenal kuongoza...
Antony aangua kilio kisa kukosa bao WINGA wa Kibrazili, Antony hakuwa na namna nyingine zaidi ya kumwaga tu machozi baada ya kushindwa kufunga bao la ushindi kwa Real Betis dhidi ya Rayo Vallecano inayopambana kukwepa kushuka daraja.
Coastal Union wapo kamili gado Ligi Kuu Bara WAKATI ikijiandaa kwa ajili ya mechi za duru la pili la Ligi Kuu Bara, kocha mkuu wa Coastal Union, Mohammed Muya amesema 'Wagosi wa Kaya wameimarika' na wapo tayari kwa vita ya ngwe ya lala...
Jurgen Klopp amfuta kazi kocha mwingine JURGEN Klopp amefanya uamuzi mwingine mzito kwa mara ya pili ndani ya wiki moja katika nafasi yake mpya kama mkuu wa soka wa kimataifa wa kampuni ya Red Bull GmbH baada ya kumfuta kazi kocha...
Ushindi wampa jeuri Mkenya Singida Black Stars USHINDI wa mabao 3-1 iliyoupata Singida Black Stars ikiwa ugenini dhidi ya Mtibwa Sugar, umempa jeuri kocha Mkenya, David Ouma akiamini kwamba umeiongezea timu morali kwa ajili ya mechi ijayo...