Neville: Huyu Carrick anampa somo Amorim GARY Neville anaamini kuwa kufufuka kwa Manchester United chini ya Michael Carrick kutamlazimisha Ruben Amorim kufanya mabadiliko atakaporejea tena kwenye ukocha.
Barca rasmi mezani na Man United dili la Rashford BARCELONA inatarajia kuanza rasmi mazungumzo na Manchester United kuhusiana na uwezekano wa kumsainisha jumla mshambuliaji wa klabu hiyo na timu ya taifa ya England, Marcus Rashford ambaye...
IMRAN KHAN: Nahodha, shujaa wa Kriketi anayeliliwa Pakistan akiwa jela KWA mara nyingine, wananchi wa Pakistan, hasa mashabiki wa kriketi wanamkumbuka Imran Khan aliyekuwa nahodha wa kikosi chao kilichoshinda Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza na pekee mnamo 1992.
Achraf Hakimi aagizwa kujitokeza mahakamani kwa tuhuma za ubakaji Mlinzi wa Saint-Germain",Achraf Hakimi ameiagizwa kujitokeza mahakamani kutokana na tuhuma za kumnyanyasa mwanamke aliyekutana naye kupitia Instagram.
Gwiji Sauzi awashukia Kaze, Youssef, ataka mabadiliko Kaizer Chiefs KUTOKANA na kile kinachoendelea ndani ya Kaizer Chiefs, gwiji wa soka wa Afrika Kusini, Mlungisi Ngubane anaamini huu ni wakati muafaka klabu hiyo kufanya mabadiliko katika benchi la ufundi ili...
Heskey ataja wa kumrithi Mo Salah NYOTA wa zamani wa Liverpool, Emile Heskey, ametaja wachezaji anaowaona wanaweza kuchukua nafasi ya Mohamed Salah na kusema kuwa nyota wa Paris Saint-Germain, Khvicha Kvaratskhelia, “ndiye chaguo...
Gyokeres: Kile kikao cha moto kimesaidia STRAIKA, Viktor Gyokeres amedai kikosi cha Arsenal kilichokuwa kimevunjika moyo kilizidi kuwa karibu zaidi baada ya kikao cha moto cha ndani cha ndani walichowekana mastaa wa miamba hiyo ya...