Nafasi za Mnguto, Kasongo zajazwa TPLB Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imepata viongozi wawili wa kukaimu nafasi za Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu ambao Juni 13, 2025 waliondoka katika nafasi hizo kwa sababu tofauti.
Rashford aweka wazi ishu ya Barcelona STAA wa Manchester United, Marcus Rashford ameweka wazi anataka kujiunga na Barcelona dirisha hili ikiwa itapatikana nafasi hiyo.
Staa Eze abeba matumaini Arsenal KIUNGO wa zamani wa Arsenal, Ray Parlour anaamini timu hiyo itafanikiwa kunasa saini ya Eberechi Eze ikiwa ni usajili wao wa mwisho dirisha hili.
Yahya Mbegu atua Mbeya City BEKI mahiri wa zamani wa Singida Black Stars, Yahya Mbegu amedaiwa kujiunga na Mbeya City iliyorejea Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao, akiungana na wachezaji wengine aliowahi kukipiga nao Singida na...
Mabosi Newcastle United wamfuata Isak nyumbani MABOSI wakubwa wa Newcastle United wamekutana na straika Alexander Isak kuweka mambo sawa ili staa huyo wa Sweden abaki.
Fernandes afunguka ishu ya kuondoka Man United NAHODHA wa Manchester United, Bruno Fernandes ameripotiwa kufungua milango ya kuachana na timu hiyo kwenye dirisha la majira ya kiangazi mwakani baada ya kugomea ofa tamu kabisa kutoka Saudi Arabia.
Van Dijk aonya gemu ya Arsenal BEKI wa kati na nahodha wa Liverpool, Virgil van Dijk amewaonya wachezaji wenzake kwenye kikosi hicho kwamba wanapaswa kukaza buti kama kweli wanataka kutetea taji la Ligi Kuu England msimu huu.
McCarthy amtaja Jose Mourinho Kenya KOCHA wa Kenya, Benni McCarthy amesema ushindi wao wa kihistoria dhidi ya Morocco kwenye CHAN 2024 umetokana na mbinu alizojifunza kutoka kwa Jose Mourinho, akisisitiza kucheza pungufu ya...
Nkunku kukwamisha dili la mkali Simons MPANGO wa Chelsea wa kutaka kumjumuisha Christopher Nkunku kwenye dili la kumsajili Xavi Simons wa RB Leipzig linaripotiwa kufeli.
Skauti West Ham akodolea macho CHAN MASHINDANO ya CHAN 2024 yanaendelea kuwavuta wadau mbalimbali wa soka wakiwemo maskauti kutoka kila pembe ya dunia kwa ajili ya kutazama vipaji vya ndani katika Ukanda wa Afrika Mashariki.