Dah! Felix ana jambo zito Milan STAA wa Chelsea anayecheza kwa mkopo AC Milan, Joao Felix ameripotiwa mambo yake kwenye vibaya hadi wachezaji wenzake kumtenga ndani ya uwanja.
Bayern yambeba bure Jonathan Tah KATIKA maandalizi ya kushiriki michuano ya Kombe la Dunia la Klabu la FIFA, Bayern Munich imefanikiwa kumsajili Jonathan Tah kwa uhamisho wa bure kutoka Bayer Leverkusen.
Chelsea yaipiga bao Man United kwa Liam Delap CHELSEA inadaiwa kushinda vita ya kuwania saini ya mshambuliaji wa Ipswich, Liam Delap na huenda ikamtangaza wiki ijayo.
Garnacho awatibua mashabiki Man United MASHABIKI wa Manchester United kwa hasira wametuma meseji za kumfukuza staa wao Alejandro Garnacho baada ya kuonekana akiwa amevaa jezi ya Aston Villa yenye jina la Marcus Rashford.
Chelsea kujiweka pabaya Marekani CHELSEA ipo kwenye hatari ya kupangwa na timu ngumu kwenye hatua ya mtoano baada ya kupoteza dhidi ya Flamengo, Ijumaa iliyopita.
Thamani ya vikosi England hii hapa LABU za Big Six za Ligi Kuu England hadi sasa zinaundwa na vikosi vya thamani ya Pauni 5 bilioni baina yao huku pengo la thamani ya vikosi kwenye ligi hiyo likizidi kutanuka.
Hebu sikia hii kali ya Mascherano, Alonso STAA wa zamani wa Liverpool, Javier Mascherano amesema anamwombea mabaya Xabi Alonso kwamba asifanikiwe kwenye kibarua chake mpya huko Real Madrid.
Nahodha APR atajwa Azam TAARIFA kutoka Rwanda zinabainisha nahodha wa kikosi cha APR FC, Claude Niyomugabo anatakiwa na Azam FC kwa ajili ya msimu ujao.
Inzaghi atua rasmi Al Hilal, akiitosa Inter Milan Simone Inzaghi ametangazwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Al-Hilal ya Saudi Arabia, siku moja baada ya kuondoka Inter Milan ya Italia ikitosa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya mbele ya PSG ya Ufaransa.
Mastaa nane kupigwa bei aje Gyokeres JUVENTUS imepanga kupiga bei mastaa wanane akiwamo straika Dusan Vlahovic na kiungo Douglas Luiz ili kumudu mshahara wa mchezaji mpya inayemtaka Viktor Gyokeres.