Mastaa kibao kukosa Arsenal na Chelsea ARSENAL na Chelsea zinakutana kwa mara ya nne ndani ya miezi mitatu, ambapo kikosi cha Mikel Arteta kikiwakaribisha The Blues katika Uwanja wa Emirates kwa ajili ya kipute cha Ligi Kuu England...
Fountain Gate yalamba dili TIMU ya Fountain Gate imeingia makubaliano ya miaka miwili yenye lengo la kuhakikisha kwamba wachezaji na benchi la ufundi wanakuwa katika mazingira bora ya kiutendaji wanapokuwa katika majukumu...
Bunge lawaita wananchi kushiriki marathoni MBUNGE wa Makete na Mwenyekiti wa Bunge Bonanza, Festo Sanga amewataka wananchi kujumuika na wabunge katika mbio za marathoni za Bunge zinazotarajiwa kufanyika Julai 18, mwaka huu.
Maguire kupewa mkataba, Carrick akihusika KOCHA wa muda wa Manchester United, Michael Carrick, anadaiwa kupendekeza beki wa timu hiyo na England, Harry Maguire, 32, kupewa mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia.
Anderson kusababisha Manchester derby MAHASIMU wakubwa England, Manchester United na Manchester City wanatarajiwa kukabiliana katika vita ya kumsajili kiungo Elliot Anderson dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Arsenal yatabiriwa ubingwa Ligi ya Mabingwa Ulaya NDO hivyo. Arsenal imewekwa kwenye nafasi kubwa ya kushinda taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu baada ya droo iliyopangwa Ijumaa kuonekana imekaa vizuri upande wao.
Lionel Messi ana mwaliko wa Ikulu Marekani KIKOSI cha Inter Miami anachochezea Lionel Messi kinatarajia kufanya ziara katika Ikulu ya White House huko Marekani ikiwa ni miezi michache tu baada ya mpinzani wake wa muda wote Cristiano...
Onana bado anaitaka Man Utd, ajipanga kurejea KIPA Andre Onana, anaendelea kuonyesha azma ya kurejea Man United na kuwa chaguo la kwanza, huku rafiki yake wa karibu akieleza kwamba mambo hayakuwa sawa dhidi ya kocha wa zamani, Ruben Amorim.
Mamadou Gaye awatuliza mashabiki Nigeria, aitaka FIFA kuamua MTAALAMU wa soka barani Afrika, Mamadou Gaye, amewaomba wadau wa soka kuendelea kuwa wavumilivu wakati Nigeria ikisubiri uamuzi kutoka FIFA katika kesi dhidi ya DR Congo inayodaiwa kukiuka...
Man City waambiwa Pep Guardiola apewe kazi mpya KOCHA Stuart Pearce amewaambia mabosi wa Manchester City kuhakikisha wanafikiria kumbakiza Pep Guardiola klabuni kama mkurugenzi wa michezo pale atakapoamua kuachia ngazi ya ukocha mkuu.