Luis Figo aingilia mvutano wa Kylian Mbappé GWIJI wa soka wa klabu za Real Madrid na Barcelona, Luis Figo, ametoa maoni yake kuhusu mvutano unaoendelea juu ya jeraha la mshambuliaji wa Ufaransa, Kylian Mbappé, akisisitiza kuwa uamuzi wa...
FRMF yamrithisha Mohamed Ouahbi mikoba ya Walid Regragui SHIRIKISHO la Soka la Morocco (FRMF), limemtangaza Mohamed Ouahbi kuwa Kocha Mkuu mpya wa timu ya taifa ya nchi hiyo, akichukua nafasi ya Walid Regragui.
Mashindano ya WAFCON 2026 yapelekwa mwezi Julai SHIRIKISHO la Soka barani Afrika (CAF), limetangaza kuahirishwa kwa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON 2026), uamuzi uliotolewa siku 12 zikisalia kabla ya kuanza kwa...
Paul Scholes amkataa Michael Carrick Man United NYOTA wa zamani wa Manchester United, Paul Scholes amemrushia dongo Kocha wa Manchester United, Michael Carrick baada ya timu hiyo kupoteza kwa mabao 2-1 dhidi ya Newcastle United, licha ya...
Mbappe, Real Madrid wavutana mashati REAL Madrid imeingia kwenye mvutano wa ndani baada ya kuzuka kwa tofauti kubwa ya maoni kati ya uongozi wa klabu na watu wa karibu wa Kylian Mbappe kuhusu muda sahihi wa mshambuliaji huyo kupona...
Steven Gerrard ampa ushauri Slot LEJENDI wa Liverpool, Steven Gerrard ameweka shinikizo kwa Kocha Arne Slot baada ya mwenendo mbaya wa timu hiyo ikiwemo kupoteza kwa mabao 2-1 dhidi ya Wolves Jumanne usiku.
Bonasi yaibua ushindani BDL NAHODHA wa Stein Warriors, Mwalimu Herry amekiri kuna mabadiliko makubwa katika mchezo huo, yakichangiwa na udhamini pamoja na bonasi zinazotolewa kwa wachezaji.
Planet, Bandari kazi ipo fainali Dunda Swish Basketball Tournament FAINALI ya kwanza ya Dunda Swish Basketball Tournament, inatarajia kufanyika keshokutwa (Jumapili) ikizikutanisha Bugando Planet na Bandari Mwanza, kwenye Uwanja wa Mirongo, Mwanza.
Osimhen kumrithi Harry Kane Bayern Munich BAYERN Munich inaripotiwa kuongeza kasi katika mpango wao wa kumsajili straika wa Galatasaray, Victor Osimhen, ikiwa ni katika kujiandaa na maisha bila ya staa wao Harry Kane ambaye umri...
Real Madrid yaachana na mpango wa Rodri REAL MADRID imeonekana kupunguza kabisa nia yake ya kumsajili kiungo wa Manchester City, Rodri, baada ya kubaini dili hilo linaweza kuwagharimu si chini ya Euro 60 milioni dirisha lijalo la...