Kisa semenyo, mmoja akamatwa POLISI katika Jiji la Liverpool, wamethibitisha mwanamume mmoja amekamatwa baada ya Antoine Semenyo kuripoti ubaguzi aliokutana nao wakati timu yake ikicheza dhidi ya Liverpool, kwenye dimba la...
William Saliba, Real Madrid ndo basi tena REAL Madrid inadaiwa kukwama katika mpango wao wa kutaka kumsajili beki kisiki wa Arsenal William Saliba baada ya ofa yao ya kutaka kufanya mabadilishano ya wachezaji kukataliwa na klabu yake.
Abidal aibuka kudai hajafa BEKI wa zamani wa Barcelona na timu ya taifa ya Ufaransa, Eric Abidal amelazimika kutoka hadharani kukanusha taarifa zinazozagaa mitandaoni kwamba amefariki dunia.
Arteta achekea sub zake Arsenal KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amesema kwa msisitizo kwamba Gabriel Martinelli na Leandro Trossard watalazimika kuzoea maisha ya kuanzia benchini na kuingia uwanjani kama “super subs” kuliko...
Vinicius? Lolote linaweza kutokea STAA wa Real Madrid, Vinicius Junior anaweza kuamua kuachana na timu hiyo kama mahitaji ya mshahara anaotaa ili asaini mkataba mpya hayatatekelezwa.
Ahmed Ally awatuliza presha mashabiki Simba Baada ya kusambaa kwa taarifa zinazomuhusu kocha wa Simba, Fadlu Davis kuondoka klabuni hapo pamoja na benchi lake la ufundi akisalia Kocha Msaidizi pekee, Selemani matola, Meneja wa Habari na...
Mshindi tuzo ya Ballon d'Or anavuta mkwanja kiasi gani? Sherehe za Ballon d’Or mwaka 2025 zinatarajiwa kufanyika leo kuanzia saa 4:00 usiku katika ukumbi wa Theatre du Chatelet, Paris, Ufaransa na ulimwengu wa soka unasubiri kwa hamu kuwaona washindi...
Cedrick Kaze akabidhiwa Kaizer Chiefs, Nabi akiaga Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini imempa jukumu Cedrick Kaze kuinoa timu hiyo hadi mwishoni mwa msimu kufuatia uamuzi wa kuachana na Kocha wake Mkuu, Nasreddine Nabi jana.
Kifo cha Raila Odinga, mechi saba Ligi Kuu ya Kenya za ahirishwa Shirikisho la Soka la Kenya (FKF), limeahirisha mechi saba zilizokuwa zimepangwa kuchezwa wikiendi hii ikiwa ni kwa heshima ya Waziri Mkuu wa zamani, Raila Amolo Odinga, aliyefariki dunia leo...
Sam Allardyce: Liverpool itajuta kwa kutomsajili Marc Guehi Aliyekuwa kocha Crystal Palace, Sam Allardyce, anaamini kuwa Liverpool watakuja kujutia kushindwa kumsajili beki Marc Guehi wakati wa usajili wa majira ya joto.