Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7927 results for Mwandishi Wetu :

  1. Evra awakaanga magwiji Man United wanaomkosoa Michael Carrick

    PATRICE Evra amewakosoa wachezaji wa zamani wa Manchester United kwa kile alichokiita uchambuzi wa hovyo dhidi ya kocha Michael Carrick, ambaye kwa sasa anafanya kazi ya kuinoa kwa muda miamba...

    EVRA Pict
  2. Napoli kuwabania vigogo England kwa McTominay

    NAPOLI inadaiwa kuanza mazungumzo na wawakilishi wa kiungo kimataifa wa Scotland, Scott McTominay, 29.

    FUNUNU Pict
  3. Kipa Singida BS atuma ujumbe baada ya kufutiwa tuhuma za upangaji matokeo

    MUDA mfupi baada ya Singida Black Stars kutangaza kumuondolea adhabu ya kumsimamisha kwa kipindi cha miezi mitatu kutokana na tuhuma za upangaji matokeo kipa wa kikosi hicho, Amas Obasogie...

    OBASOGI Pict
  4. Gabriel ajibu tuhuma Arsenal

    BEKI wa kati wa Arsenal, Gabriel Magalhaes amesema hawajali kabisa madai ya kocha wa Brighton, Fabian Hurzeler, kuhusu kupoteza muda makusudi wakati wa mchezo kwenye Ligi Kuu England msimu huu.

    GABRIEL Pict
  5. Mpishi amfungulia kesi Neymar

    SUPASTAA, Neymar anakabiliwa na kesi ya kisheria kutoka kwa mpishi wake binafsi ambaye anadai fidia ya fedha baada ya kulazimishwa kufanya kazi hadi saa 16 kwa siku na wakati mwingine kupika...

    MPISHI Pict
  6. Kipa Singida BS afutiwa tuhuma za upangaji matokeo

    ZIKIWA zimepita siku mbili baada ya Singida Black Stars kumfutia adhabu kiungo Khalid Aucho ya kumsimamisha kwa miezi mitatu kutokana na utovu wa nidhamu na utoro kazini, pia imefanya hivyo kwa...

    KIPA Pict
  7. Wacheza kamari wataja mastaa 18 wanaowania tuzo mchezaji bora England

    LIGI Kuu England imebakiza mechi zisizozidi tisa kufika tamati katika msimu huu wa 2025/26. Na wakati ligi hiyo ikitarajia kuelekea ukingoni, tayari kuna majina ya masupastaa 18 wanaopewa nafasi...

    KAMARI Pict
  8. Takwimu za pasi zinavyofichua mabadiliko EPL miaka 10

    KUMEKUWA na mjadala mkubwa kuhusu namna mchezo wa Ligi Kuu England ulivyo msimu huu, lakini kulinganisha takwimu za pasi kunaonyesha wazi jinsi soka la England limebadilika katika kipindi cha...

    PASI Pict
  9. Arsenal yapewa msala wa kupoteza muda Ligi Kuu England

    ARSENAL ilitumia zaidi ya dakika 30 kuanzisha mchezo upya katika ushindi wao wa 1-0 dhidi ya Brighton, ushindi uliowasaidia kusogea karibu zaidi na ubingwa wa Ligi Kuu England.

    GUNNERS Pict
  10. Mechi za nyumbani Spurs inaomba dua zenu jamani!

    MCHEZA kwao hutuzwa. Lakini, wahenga wa Tottenham Hotspur wanaangaliana usoni huu ya msemo huo wa kihenga.

    RATIBA Pict
Previous

Page 123 of 793

Next