Evra awakaanga magwiji Man United wanaomkosoa Michael Carrick PATRICE Evra amewakosoa wachezaji wa zamani wa Manchester United kwa kile alichokiita uchambuzi wa hovyo dhidi ya kocha Michael Carrick, ambaye kwa sasa anafanya kazi ya kuinoa kwa muda miamba...
Napoli kuwabania vigogo England kwa McTominay NAPOLI inadaiwa kuanza mazungumzo na wawakilishi wa kiungo kimataifa wa Scotland, Scott McTominay, 29.
Kipa Singida BS atuma ujumbe baada ya kufutiwa tuhuma za upangaji matokeo MUDA mfupi baada ya Singida Black Stars kutangaza kumuondolea adhabu ya kumsimamisha kwa kipindi cha miezi mitatu kutokana na tuhuma za upangaji matokeo kipa wa kikosi hicho, Amas Obasogie...
Gabriel ajibu tuhuma Arsenal BEKI wa kati wa Arsenal, Gabriel Magalhaes amesema hawajali kabisa madai ya kocha wa Brighton, Fabian Hurzeler, kuhusu kupoteza muda makusudi wakati wa mchezo kwenye Ligi Kuu England msimu huu.
Mpishi amfungulia kesi Neymar SUPASTAA, Neymar anakabiliwa na kesi ya kisheria kutoka kwa mpishi wake binafsi ambaye anadai fidia ya fedha baada ya kulazimishwa kufanya kazi hadi saa 16 kwa siku na wakati mwingine kupika...
Kipa Singida BS afutiwa tuhuma za upangaji matokeo ZIKIWA zimepita siku mbili baada ya Singida Black Stars kumfutia adhabu kiungo Khalid Aucho ya kumsimamisha kwa miezi mitatu kutokana na utovu wa nidhamu na utoro kazini, pia imefanya hivyo kwa...
Wacheza kamari wataja mastaa 18 wanaowania tuzo mchezaji bora England LIGI Kuu England imebakiza mechi zisizozidi tisa kufika tamati katika msimu huu wa 2025/26. Na wakati ligi hiyo ikitarajia kuelekea ukingoni, tayari kuna majina ya masupastaa 18 wanaopewa nafasi...
Takwimu za pasi zinavyofichua mabadiliko EPL miaka 10 KUMEKUWA na mjadala mkubwa kuhusu namna mchezo wa Ligi Kuu England ulivyo msimu huu, lakini kulinganisha takwimu za pasi kunaonyesha wazi jinsi soka la England limebadilika katika kipindi cha...
Arsenal yapewa msala wa kupoteza muda Ligi Kuu England ARSENAL ilitumia zaidi ya dakika 30 kuanzisha mchezo upya katika ushindi wao wa 1-0 dhidi ya Brighton, ushindi uliowasaidia kusogea karibu zaidi na ubingwa wa Ligi Kuu England.
Mechi za nyumbani Spurs inaomba dua zenu jamani! MCHEZA kwao hutuzwa. Lakini, wahenga wa Tottenham Hotspur wanaangaliana usoni huu ya msemo huo wa kihenga.