Kaimu Meneja Kwa Mkapa, wengine sita wasimamishwa kazi
Waziri wa Sanaa, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Balozi Dk Pindi Chana amewasimamisha kazi watumishi saba wakipisha uchunguzi akiwemo Kaimu Meneja wa Uwanja wa Mkapa, Salum Mtumbuka baada ya tatizo...