TRA United v Simba waahirishwa, kupangwa siku nyingine Mchezo wa Ligi Kuu Bara baina ya Simba dhidi ya TRA United umeahirishwa kutokana na miundombinu ya Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kujaa maji kutona na mvua zinazonyesha maeneo mbalimbali ya nchi.
Aliyosema Scholes juu ya Carrick yamgeukia KAMA ingekuwa Bongo basi ingekuwa rahisi kusema kwamba huo ni zengwe. Supastaa wa zamani wa Manchester United, Paul Scholes ameshangazwa na kuvunjika moyo baada ya kukosolewa kuhusu ujumbe wake...
Nyuma ya pazia pamba za mastaa wa soka Ulaya UNAISHIJE bila kujua Kylian Mbappe anapiga mapigo gani anapotoka katika mitoko yake ya kawaida? Vinicius Junior je? Vipi kuhusu supastaa kinda wa soka anayeutikisa ulimwengu wa sasa Lamine Yamal?
Mbio za ubingwa EPL zashika kasi baada ya vipigo Ulaya BAADA ya wiki ngumu barani Ulaya kwa klabu za England, timu hizo zinarejea katika majukumu ya Ligi Kuu England leo huku mbio za ubingwa na kuepuka kushuka daraja zikifikia hatua muhimu
Partey akabiliwa na mashtaka mapya mawili ya ubakaji Thomas Partey, mchezaji wa zamani wa Arsenal, anatarajiwa kupinga mashtaka mawili mapya ya ubakaji yaliyowasilishwa dhidi yake, mahakama imeelezwa.
Tanzania yalipa CAF zaidi ya Sh80 Bilioni uwenyeji AFCON 2027 Serikali ya Tanzania imelipa Dola Milioni 32 (zaidi ya Sh80 Bilioni) kwa Confederation of African Football (CAF) kama sehemu ya masharti ya kuwa mwenyeji wa mashindano ya Africa Cup of Nations...
Rooney ampigia chapuo Keane Spurs KINACHOTAJWA kwa sasa huko England ni kwamba kibarua cha kocha wa muda wa Tottenham Hotspur, Igor Tudor kimeshikiliwa kwa nyuzi nyembamba ikidaiwa kwamba wakati wowote anaweza kutimuliwa kutokana...
Atletico yakubali kumuuza Julian Alvarez England ATLETICO Madrid ipo tayari kumuuza mshambuliaji wa kimataifa wa Argentina, Julian Alvarez mwenye umri wa miaka 26, katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi kwenda timu yoyote ya Ligi Kuu...
John Obi: Arsenal inacheza ‘soka haramu’ KIUNGO wa zamani wa Chelsea, John Obi Mikel ameishambulia vikali Arsenal akidai timu hiyo inacheza “soka haramu” na haistahili kuwa bingwa wa Ligi Kuu England msimu huu.