Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8467 results for Mwandishi Wetu :

  1. Salah kuongoza Mafarao  Kombe la Dunia 2026

    KUNA mataifa ambayo hushiriki Kombe la Dunia kwa ajili ya kuongeza uzoefu lakini pia kuna mataifa yanayoingia katika mashindano yakiwa na historia nzito mabegani mwao. Misri ni moja ya mataifa hayo.

    MISRI Pict
  2. JKT, Stein Warriors kazi ipo ufunguzi BDL

    ILE Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), inarudi na tayari timu shiriki 16 zinajifua kwa ajili ya kipute hicho kinachotarajiwa kuanza siku nne zijazo, ambapo kamishna wa Ufundi na...

    JKT Pict
  3. MCL yazindua mwongozo wa matumizi ya AI

    KAMPUNI ya Mwananchi Communications (MCL), imezindua mwongozo wa matumizi ya akili unde (AI), katika shughuli zake za uhariri na uendeshaji wa majukwaa yake mbalimbali.

  4. De Reuck: Nilipotea Sundowns, Simba wakanisitiri

    Beki wa Simba SC, Rushine De Reuck, amefunguka kuhusu kipindi kigumu alichopitia mwishoni mwa maisha yake ya soka akiwa Mamelodi Sundowns, akisema alikuwa hajui mustakabali wake ulikuwa wapi.

  5. Gwiji ampeleka Mbappe Arsenal

    WAKATI mustakabali wa mshambuliaji wa Real Madrid, Kylian Mbappe, ukiendelea kuwa gumzo licha ya kuwa mmoja wa nyota wakubwa wa klabu hiyo, kiungo wa zamani wa Monaco, Arsenal, Barcelona na...

    TOTTENHAM Pict
  6. 'STOP'! VAR kutoongezewa majukumu EPL

    LIGI Kuu England (EPL), inatarajiwa kukataa kuongeza mamlaka ya teknolojia ya usaidizi wa mwamuzi (VAR) msimu ujao baada ya mazungumzo kati ya uongozi wa ligi na Bodi ya Waamuzi (PGMO).

    VAR Pict
  7. Argentina yatangaza 55 kikosi cha awali

    MABINGWA watetezi wa Kombe la Dunia, Argentina, wameanza rasmi maandalizi ya kutetea taji kwa kutangaza kikosi cha awali cha wachezaji 55 kwa ajili ya mashindano ya mwaka huu.

    ARGENTINA Pict
  8. Carlo ampa Neymar tumaini la mwisho

    KOCHA wa timu ya taifa ya Brazil, Carlo Ancelotti amempa Neymar Jr matumaini ya kurejea katika timu ya taifa baada ya kumjumuisha kwenye kikosi cha awali cha wachezaji 55 kwa ajili ya Kombe la...

    NEYMAR Pict
  9. Nicolas Jackson anukia kutua Italia, Juventus yatajwa

    JUVENTUS inatajwa kufikiria kutuma ofa ya kumsajili kwa mkopo kwa mshambuliaji wa Chelsea, Nicolas Jackson, katika dirisha lijalo la usajili wa majira ya kiangazi.

    FUNUNU Pict
  10. Mchongo mpya waibuka kuelekea Kombe la Dunia 2026

    Wakati dunia ikisubiri kwa hamu kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia 2026, kampuni ya ubashiri ya Leonbet imezindua kampeni maalum yenye lengo la kuongeza msisimko kwa mashabiki wa soka kuelekea...

    New Content Item (4)
Previous

Page 113 of 847

Next