Salah kuongoza Mafarao Kombe la Dunia 2026 KUNA mataifa ambayo hushiriki Kombe la Dunia kwa ajili ya kuongeza uzoefu lakini pia kuna mataifa yanayoingia katika mashindano yakiwa na historia nzito mabegani mwao. Misri ni moja ya mataifa hayo.
JKT, Stein Warriors kazi ipo ufunguzi BDL ILE Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), inarudi na tayari timu shiriki 16 zinajifua kwa ajili ya kipute hicho kinachotarajiwa kuanza siku nne zijazo, ambapo kamishna wa Ufundi na...
MCL yazindua mwongozo wa matumizi ya AI KAMPUNI ya Mwananchi Communications (MCL), imezindua mwongozo wa matumizi ya akili unde (AI), katika shughuli zake za uhariri na uendeshaji wa majukwaa yake mbalimbali.
De Reuck: Nilipotea Sundowns, Simba wakanisitiri Beki wa Simba SC, Rushine De Reuck, amefunguka kuhusu kipindi kigumu alichopitia mwishoni mwa maisha yake ya soka akiwa Mamelodi Sundowns, akisema alikuwa hajui mustakabali wake ulikuwa wapi.
Gwiji ampeleka Mbappe Arsenal WAKATI mustakabali wa mshambuliaji wa Real Madrid, Kylian Mbappe, ukiendelea kuwa gumzo licha ya kuwa mmoja wa nyota wakubwa wa klabu hiyo, kiungo wa zamani wa Monaco, Arsenal, Barcelona na...
'STOP'! VAR kutoongezewa majukumu EPL LIGI Kuu England (EPL), inatarajiwa kukataa kuongeza mamlaka ya teknolojia ya usaidizi wa mwamuzi (VAR) msimu ujao baada ya mazungumzo kati ya uongozi wa ligi na Bodi ya Waamuzi (PGMO).
Argentina yatangaza 55 kikosi cha awali MABINGWA watetezi wa Kombe la Dunia, Argentina, wameanza rasmi maandalizi ya kutetea taji kwa kutangaza kikosi cha awali cha wachezaji 55 kwa ajili ya mashindano ya mwaka huu.
Carlo ampa Neymar tumaini la mwisho KOCHA wa timu ya taifa ya Brazil, Carlo Ancelotti amempa Neymar Jr matumaini ya kurejea katika timu ya taifa baada ya kumjumuisha kwenye kikosi cha awali cha wachezaji 55 kwa ajili ya Kombe la...
Nicolas Jackson anukia kutua Italia, Juventus yatajwa JUVENTUS inatajwa kufikiria kutuma ofa ya kumsajili kwa mkopo kwa mshambuliaji wa Chelsea, Nicolas Jackson, katika dirisha lijalo la usajili wa majira ya kiangazi.
Mchongo mpya waibuka kuelekea Kombe la Dunia 2026 Wakati dunia ikisubiri kwa hamu kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia 2026, kampuni ya ubashiri ya Leonbet imezindua kampeni maalum yenye lengo la kuongeza msisimko kwa mashabiki wa soka kuelekea...