Elton John afichua upofu wa miezi 15 MWIMBAJI mkongwe wa muziki duniani kutoka Uingereza, Sir Elton John amefichua amekuwa akipambana na hali ya upofu kwa takriban miezi 15 iliyopita.
Man Uniuted yatua kwa Valverde MANCHESTER United ipo kwenye mstari wa mbele ikifanya mazungumzo na wakala wa nyota wa Real Madrid, Federico Valverde ili kumsajili katika dirisha lijalo
Didi Hamann: Slot siku zake zinahesabika MCHEZAJI wa zamani wa Liverpool, Didi Hamann amesema kocha wa timu hiyo Arne Slot amepoteza ushawishi kwa wachezaji na mwisho wake unanukia katika viunga hivyo vya Anfield.
Ndayiragije afurahia kuwanasa kina Nkane KOCHA Mkuu wa TRA United, Etienne Ndayiragije, amesema maboresho yaliyofanywa na kikosi hicho katika dirisha dogo la usajili yamezingatia mahitaji, na ana matarajio makubwa na nyota wote...
Cardi B: Wanaume wanajigonga kila mara MWANADADA Cardi B amedai wanaume wamekuwa wakijigonga kwake kutokana na kujaaliwa umbo tamu la kupendeza.
Lil Jon apata pigo akifiwa na mwanae DJ Young Slade, mtoto wa nyota muziki wa Marekani, Lil Jon amefariki dunia, baba yake alithibitisha taarifa hiyo kupitia taarifa rasmi siku ya Ijumaa.
Barcelona yajiondoa katika michuano hii BARCELONA imetangaza kujiondoa rasmi kwenye mradi wa Ligi Kuu ya Ulaya (Super League), hatua inayoiwacha Real Madrid kuwa klabu pekee iliyosalia katika mpango huo.
Mbappe aibua hofu Madrid SUPASTAA, Kylian Mbappe ameibua wasiwasi mkubwa huko Real Madrid baada ya kuondoka kwenye kambi ya Ufaransa kutokana na kusumbuliwa na maumivu ya enka.
Tuchel atuma ujumbe kwa mastaa England KOCHA mkuu wa England, Thomas Tuchel amewataka mastaa wake watakaoanzia benchini kwenye fainali za Kombe la Dunia kuwa na hasira wanapoingia uwanjani ili kunyakua taji hilo.
Kocha Spurs afunguka ishu ya Man United KOCHA Thomas Frank amefunguka kwamba alifanyiwa usaili na bosi wa Manchester United, Sir Jim Ratcliffe kwa ajili ya kwenda kuinoa timu hiyo siku moja kabla ya kubeba taji la Kombe la FA mwaka 2024.