Mo Salah: Ekitike? Bado hatujawezana SUPASTAA wa Liverpool, Mohamed Salah amekiri kwamba bado hajaelewana vyema na mshambuliaji mwenzake kwenye kikosi hicho, Hugo Ekitike.
CHAN 2024: Sudan inaitaka nusu, wachekelea sapoti Zanzibar KOCHA wa timu ya taifa la Sudan, Kwesi Appiah amesema wako tayari kwa robo fainali ya CHAN 2024 watakapokutana na Algeria ambao ni wanafainali za mwaka 2022.
DR Congo yaiong'oa Angola CHAN 2024 KIPIGO cha mabao 2-0 kutoka kwa DR Congo katika pambano la Kundi A la michuano ya CHAN 2024 umeing'oa Angola katika michuano hiyo ikiungana na Nigeria, Afrika ya Kati na Zambia.
Partey mahakamani wiki ijayo KIUNGO wa Villlarreal na timu ya taifa ya Ghana, Thomas Partey anatakiwa kufika mahakamani kwa mashtaka ya ubakaji Septemba 15, siku moja kabla ya mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya...
Messi aacha utata Argentina, akisaidia ushindi wa 3-0 Lionel Messi usiku wa kuamkia leo ameiongoza Argentina kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 nyumbani dhidi ya Venezuela lakini baada ya hapo akatoa kauli inayoonekana kama ni ya kuwaaga kwa mara ya...
Lescott: Kwa Isak? Ekitike ni benchi tu BEKI wa zamani wa Manchester City na England, Joleon Lescott anaamini kocha wa Liverpool, Arne Slot atamweka benchi Hugo Ekitike ili kumwanzisha straika, Alexander Isak.
Kivumbi kinaendelea tena wikiendi hii JOTO la Ligi Kuu England litapanda tena wikiendi hii ambapo timu zitarusha kete za pili kwenye mchakamchaka wa kuwania ubingwa wa ligi hiyo.
Aliyechukua nafasi ya Palmer ana balaa KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca ameelezea kilichomfanya Cole Palmer kushindwa kucheza mechi ya West Ham United, huku mchezaji aliyecheza badala yake, Estevao Willian akionyesha balaa kubwa uwanjani.
Kocha Sweden amtetea Isak KOCHA wa Sweden, Jon Dahl Tomasson amewaonya watu waache kumhukumu Alexander Isak kwa sababu hawafahamu kiundani juu ya sakata lake kwenye klabu ya Newcastle United.
Gabriel bado yupo sana Arsenal Beki wa Kati raia wa Brazil, Gabriel Magalhaes (27) ameongeza mkataba wa kuitumikia Arsenal hadi 2029.