Simba yapewa Mwarabu robo fainali CAFCC Droo ya robo fainali ya Kombe la Shrikisho Afrika imepangwa ambapo Simba itavaana na Al Masry ya Misri.
Messi vs Ronaldo muulize Casemiro KIUNGO Casemiro amesema Lionel Messi ni bora kumzidi Cristiano Ronaldo, licha ya Mbrazili huyo kucheza pamoja na CR7 kwenye timu mbili tofauti, Real Madrid na Manchester United.
Haya mzigo wa Tuchel huo hapo England KOCHA, Thomas Tuchel sasa ameshafahamu mechi zake za kwanza kwenye kibarua chake cha timu ya taifa ya England atakabiliana na timu ipi na kwenye michuano gani.
Rashford aambiwa aache starehe STAA, Marcus Rashford ameambiwa anapaswa kuachana na maisha yake ya starehe nje ya uwanja na kuwekeza akili ndani ya uwanja ili awe mchezaji bora kwenye kikosi cha Manchester United.
Duh! Kiungo Dani Olmo ang’oka jino uwanjani KIUNGO wa Barcelona, Dani Olmo ameng’oka jino baada ya kugongana na beki wa Real Betis, Marc Bartra katika mchezo wa La Liga uliofanyika Jumamosi.
Amorim aanika mikakati yake Man United KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim ameainisha mipango yake kuelekea dirisha lijalo la usajili huku taarifa zikieleza kwamba nusu ya wachezaji wa kikosi chake wanaweza kuondoka.
Mourinho aitaka Real Madrid MBWATUKAJI Jose Mourinho ameacha mlango wazi kuhusu kurejea tena Real Madrid, akisisitiza kuwa daima amekuwa shabiki mkubwa wa timu hiyo.
Jamie Carragher: Salah huyu mbona wetu LEJENDI wa Liverpool, Jamie Carragher ametaja sababu inayomfanya aamini kuwa Mohamed Salah ataongeza mkataba wa kuendelea kusalia Liverpool baada ya msimu huu kumalizika.
Vanessa: Muziki wa kidunia una ushetani Aliyekuwa msanii wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee, ameweka wazi kutorudia kufanya muziki wa kidunia huku akiuhusisha na masuala ya kishetani.
Slot: Mchawi wa Federico Chiesa ni Salah KOCHA wa Liverpool, Arne Slot anaamini sababu mojawapo iliyochangia staa wa timu hiyo, Federico Chiesa kutoonyesha kiwango kilichotarajiwa ni ubora mkubwa unaoendelea kuonyeshwa na Mohamed Salah...