Tanzania Prisons kimkakati zaidi HESABU walizonazo Tanzania Prisons ni kuhakikisha kwamba, hawataki kuwaruhusu wapinzani wao, JKT Tanzania kupata hata pointi moja watakapokutana wikiendi hii.
Gyokeres njia nyeupe Arsenal ARSENAL huenda ikapata urahisi katika mchakato wa kumsajili straika wa Sporting Lisbon, Viktor Gyokeres baada ya Barcelona kuthibitisha kuwa haina mpango wa kumsajili.
Guinea yaiweka njia panda Stars kufuzu Afcon 2025 Ushindi wa bao 1-0 wa Guinea dhidi ya DR Congo umeweka kundi H la kufuzu kwa AFCON 2025 kwenye hatua ya kufa au kupona, hasa kwa Taifa Stars. Kwa sasa, nafasi ya Stars kufuzu inategemea mchezo wa...
Haya ndiyo maradhi yaliyositisha uhai wa mwigizaji Fredy Kufuatia kifo cha mwigizaji Fredy Kiluswa kilichotokea jana Novemba 16,2024 katika hospitali ya rufaa Mloganzila, mwongozaji msaidizi wa tamthilia ya 'Mizani ya Mapenzi' Alex Mgeta 'Ngosha'...
Waziri Mkuu aagiza Niffer akamatwe na Polisi Mwanamitandao na mfanyabiashara Jenifer Jovin 'Niffer' amekamatwa na jeshi la polisi kwa kukusanya pesa za michango kwa ajili ya waathirika wa Kariakoo waliopata majanga baada ya jengo la ghorofa...
Aston Villa wanatambia kiwango cha Rashford MASHABIKI wa Aston Villa wamemtaka bosi wa usajili wa timu hiyo kuhakikisha anamnasa jumla mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford, ambaye amejiunga kwa mkopo dirisha lililopita la...
Mtego wa Waarabu kwa Vini Jr ni balaa KLABU za soka za Saudi Arabia zimepanga kutumia zaidi ya Pauni 1 bilioni kuhakikisha zinamnasa Vinicius Jr akakipiga huko, imeripotiwa.
Martinez: tuwasaidie Hojlund, Zirkzee BEKI wa kati wa Manchester United, Lisandro Martinez amewaambia wachezaji wenzake waache kuwapigia mipira mirefu mastraika wao.
Duh! Timu yakimbia mechi Uturuki MECHI ya Galatasaray kwenye Super Lig dhidi ya Adana Demirspor imevunjika baada ya timu ya ugenini kugoma kuendelea na mchezo.
Mo Salah aweka rekodi nyingine EPL STAA wa Liverpool, Mohamed Salah ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufunga na kutoa pasi katika michezo 10 au zaidi kwenye ligi kwa simu mmoja baada ya Lionel Messi aliyefanya hivyo...