Mechi inayofuata baada ya kipigo Dabi Aprili 20, 2024, watani wa jadi wa soka la Tanzania, Yanga na Simba, watakutana katika muendelezo wa ligi kuu kwa msimu wa 2023/24.
Hesabu zaibeba Yanga Kirumba Kivumbi cha Ligi Kuu Bara kinaendelea leo kwa kupigwa michezo miwili iliyobeba taswira ya mbio za ubingwa kwa msimu huu, baada ya jioni ya jana Simba kumalizana na Ihefu mjini Singida.
Gamondi: Aucho bado, atamba kubeba makombe Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi amesema mazoezi ya mwisho leo jijini Mwanza yataamua hatma ya kiungo, Khalid Aucho kama atatumika katika mchezo wa kesho ama la licha ya kucheza kwa dakika chache m...
PRIME Tatizo Simba liko hapa Simba imeondolewa kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya robo fainali kwa mara ya nne na mara moja katika Kombe la Shirikisho Afrika ndani ya miaka sita mfululizo.
PRIME Ripoti ya Benchikha yavuta watano wapya Simba SIMBA imeharibu rekodi flani iliyokuwa nayo kimataifa baada ya kupasuka nje ndani mbele ya Al Ahly ya Misri, jambo ambalo ni kama limempa hasira kocha wa timu hiyo, Abdelhak Benchikha ambaye...
Nenda Kuka fundi wa mpira MWANDISHI WETU WIKI moja tu tangu familia ya michezo hususan soka kupata pigo baada ya beki wa zamani wa kimataifa aliyewika Simba na Yanga, Ramadhani Wasso kufariki dunia akiwa kwao...
Anavyopatikana bingwa wa gofu kwa klabu YANAPOFANYIKA mashindano ya gofu ya klabu, kisheria kila klabu inatakiwa kutoa wachezaji wanane, kisha watakuwa wanacheza wawili wawili, pointi zitakazopatikana zinatoa ubingwa. Kila klabu...
Sangawe: Ukitaka kutoboa kimaisha, cheza gofu ridhaa, kwa asimilia kubwa zinakuwa ni vitu vya ndani na wengi wetu hatujatumia gharama kubwa kununua vitu vya ndani.” Analojivunia kwenye gofu ni namna anavyopata elimu kutoka kwa viongozi...
Gamondi: Tumejiandaa kukabiliana na Mamelodi Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amesema ili timu hiyo ifikie mafanikio ya juu lazima icheze dhidi ya klabu kubwa za Afrika kama Mamelodi Sundowns.
Simba yaandaa sapraizi Kwa Mkapa "Mechi ya kesho ni kubwa kwa klabu zote mbili na nategemea mambo mazuri na sisi kama Simba tunajua tunacheza na timu kubwa hivyo tumechukua tahadhari zote."