Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

715 results for Nevumba Abubakar :

  1. Alliance v Ceasiaa vita ya 'Top 5' WPL

    ACHANA na vita ya ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake kati ya JKT Queens na Simba Queens, kuna mchuano mwingine mkali wa kuwania nafasi ya tano kati ya Alliance Girls na Ceasiaa Queens.

    ALLIANCE Pict
  2. Winga Mbongo atambulishwa Ujerumani

    WINGA wa Kitanzania, Emma Lattus ametambulishwa kwenye kikosi cha timu ya Borussia Monchengladbach inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza Ujerumani akitokea FC Koln 2.

    WINGA Pict
  3. Kocha KMC, Mubesh aona mwanga Ligi Kuu

    KOCHA wa KMC, Adam Mbwana Mubesh, amesema ameona mwanga tangu aanze kukinoa kikosi hicho, huku akisema kilichobadilika kwa sasa ni mipango tu na anafurahia ushindi alioupata dhidi ya Tabora United.

  4. Gets Program yaungana na Mlandizi

    HATIMAYE Gets Program imeungana na Mlandizi Queens kushuka daraja Ligi Kuu ya Wanawake baada ya kukusanya pointi 10 kwenye mechi 17.

    GATES Pict
  5. Kisa kuikimbia JKT, Fountain kukutana na rungu

    BAADA ya Fountain Gate Princess kugomea kuendelea na mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake juzi dhidi ya JKT Queens, itakumbana na adhabu ya kutozwa faini ya Sh 2 Milioni na kupokonywa ushindi.

    FOUNTAIN Pict
  6. Mynaco ataja ugumu Ligi ya Wanawake nchini Misri

    KIUNGO wa Zed FC inayoshiriki Ligi ya Wanawake nchini Misri, Maimuna Hamis 'Mynaco' amesema msimu huu umekuwa bora kwake kutokana na ushindani ulioongezeka kwenye ligi hiyo.

    MYNACO Pict
  7. Chama la Kelvin John hatihati kushuka daraja

    IMESALIA mechi moja kujua hatma ya chama la mshambuliaji wa Kitanzania, Kelvin John kushuka daraja rasmi.

    KELVIN Pict
  8. Novatus asaka rekodi ya Samatta Ulaya

    MBWANA Samatta anajiandaa kuandikia historia binafsi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kushiriki michuano ya Ulaya zaidi ya mara moja baada ya timu yake ya PAOK FC ya Ugiriki kushindwa kufuzu Ligi ya...

    SAMATTA Pict
  9. Haji Mnoga asaini mwaka mmoja England

    BEKI wa Salford City na timu ya Taifa, Taifa Stars, Haji Mnoga ameongezewa mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kusalia katika kikosi hicho kinachoshiriki League Two (daraja la nne) nchini England.

    MNOGA Pict
  10. Ubingwa WPL... Yanga yatibua hesabu za Simba

    KIPIGO cha mabao 2-0 ilichopata jioni hii Yanga Princess mbele ya JKT Queens kimetibua hesabu za watetezi wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), Simba Queens katika mbio za ubingwa kwa msimu huu.

Previous

Page 2 of 72

Next