Search

338 results for Nasra Abdallah :

  1. ‘Sanaa Feel Free’ imebadilisha taswira muziki wa singeli

    Mkurugenzi wa Uswazi born Talent (UBT), Masoud Kandoro maarufu ‘Meneja Kandoro’ amesema Mradi wa ‘Sanaa Feel Free’ umewasaidia wasanii wa Muziki wa singeli na kubadilisha taswira kuwa muziki huo...

  2. PRIME Harmonize: Nilimpa dili Kajala

    MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Rajab Abdul maarufu Harmonize, amevunja ukimya kuhusu kuvunjika kwa uhusiano wake na mrembo kutoka Bongo Movie, Masanja Kajala, huku akidai alikuwa akimpatia...

  3. Wasanii kukusanya mirabaha kuanzia mwakani

    Kuanzia mwakani mirabaha itakusanywa na wasanii wenyewe na ofisi ya Haki Miliki Tanzania (Cosota) itabaki kama msimamizi.

  4. Vikundi nane vyalamba Sh187 milioni za 'Feel Free

    Vikundi nane vimeibuka kidedea na kulamba za mawazo ya kibunifu kupitia mradi wa Feel Free, zilizoandaliwa Nafasi Art Space. Akitangaza vikundi hivyo vilivyoshinda Dar es Salaam jana Mwenyekiti...

  5. AliKiba, Samatta kusaidia watoto njiti Kibiti na Kigoma

    Msanii Ally Saleh maarufu Ali Kiba na mchezaji mpira anayekipiga kimataifa, Samatta Mbwana, wanataraji kukusanya fedha kupitia mechi ya hisani kwa ajili ya kukusanya fedha kwa ajili ya kusaidia...

  6. Kifo cha Mussa Babaz chamuibua Profesa Jay

    Profesa Jay hajawahi kuonekana hadharani wala kupakia chochote kwenye mitandao ya kijamii tangu alipolazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa siku 127 akipatiwa matibabu baada ya kuwa na...

  7. Msama: Wasanii msinunue magari ya kifahari mkopo wa Serikali

    Mkurugenzi wa kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama, amewashauri wasanii kutumia mikopo waliyopewa na serikali kupitia mfuko wa Sanaa na Utamaduni katika kuendeleza kazi zao na kuepuka...

  8. Balozi wa Moroco atoboa siri nchi yao kufanya vizuri

    Balozi wa Ufalme wa Morocco nchini Tanzania Zakaria El Goumiri, siri ya nchi yao kufanya vizuri katika mashindano ya mpira ya dunia ni uwekezaji wa miundombinu ya michezo. Timu ya Morocco katika...

  9. Siri ya Joti hii hapa

    UNAWEZA kusema mwonekano wa mwili wa mchekeshaji maarufu, Lucas Mhuvile ’Joti’ uko tu vile ulivyo, lakini ukweli ni kwamba utakuwa unajidanganya kwani jamaa anaufanyia kazi kubwa ili kuendelea...

  10. Lulu apata mtoto wa pili, mumewe Majizo athibitisha

    Msanii wa filamu , Elizabeth Michael, maarufu ‘Lulu’ amepata mtoto wa pili wa kike na kumpa jina la Grecious.

Previous

Page 2 of 34

Next