He! Yamal amponza mrembo Hispania MREMBO mwenye ushawishi mkubwa mitandaoni, Fati Vazquez amefichua kutumiwa meseji za vitisho baada ya kuibuka uvumi kuwa kwenye uhusiano na kinda wa Barcelona, Lamine Yamal kufuatia picha...
Ushindi waipa Mamelodi zawadi ya bingwa wa CAF USHINDI wa bao 1-0 ilioupata Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini dhidi ya Ulsan HD ya Korea Kusini katika michuano ya Kombe la Dunia la Klabu 2025 inayofanyika Marekani, imeipa klabu hiyo Sh...
Uhondo wa ngumi na mambo kumi ya kuvutia KWA nini unashangaa sasa kuona kuna mchezo wa ngumi? Kwa nini watu wapigane wakati hawajakosana? Inakuwaje ngumi zinapigwa na watu kutoana damu, ngeu au hata kusababisha vifo? Umeshawahi...
Aziz Ki ana jambo lake na Man City leo MABEKI wa Manchester City watakabiliwa na shughuli pevu ya kumdhibiti Stephane Aziz Ki wa Wydad AC wakati miamba hiyo itakapokutana kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi ya fainali za Kombe...
Jamal Musiala akaaa pazuri kwa mabao STAA wa Bayern Munich, Jamal Musiala ameanza kwa kasi kubwa fainali za Kombe la Dunia la Klabu baada ya kuongoza vita ya ufungaji kufuatia kutikisa nyavu mara tatu katika michuano hiyo.
Man United yaondoa jezi za mawinga sokoni HABARI ndo hiyo. Manchester United imeziondoa sokoni jezi za mawinga wake Jadon Sancho na Antony sasa na kuziweka kando kwenye tovuti ya klabu hiyo.
Dembele bado ajifua kivyake WINGA Ousmane Dembele anaendelea kujifua kivyake wakati huu akipambana kupona maumivu ya misuli.
De Bruyne hana maneno mengi KIUNGO Kevin De Bruyne ametoa ujumbe wake wa maneno machache baada ya kukamilisha uhamisho wake wa bure kutoka Manchester City kwenda Napoli.
LIGI KUU: Kuna vita mbili Mbeya LIGI Kuu Bara inaendelea leo Jumatano na timu zote 16 zitakuwa kwenye viwanja nane tofauti kusaka hatma ya kutamatisha msimu huu huku kukiwa na mechi moja yenye vita mbili tofauti ikizihusisha...
Mzigo mpya EPL hewani leo! LIGI Kuu England imethibitisha kwamba itaweka hadharani ratiba ya msimu wa 2025/26, leo Jumatano.