Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

726 results for Nevumba Abubakar :

  1. Tanzania kuanza na Sudan Cecafa Dar

    MASHINDANO ya Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) ya Wanawake yanatarajiwa kuanza Juni 12, mwaka huu katika Uwanja wa Azam Complex ambapo Tanzania itaumana na Sudan Kusini.

    CECAFA Pict
  2. Lunyamila kumaliza ukame wa mabao FC Juarez

    USAJILI wa nyota mpya Mtanzania, Enekia Lunyamila aliyetua FC Juarez huenda ukamaliza tatizo la ufungaji mabao katika klabu hiyo kutokana na rekodi zake nzuri alikotoka.

    LUNYAMILA Pict
  3. Chomelo: Haukuwa msimu mzuri, tutajipanga

    KIUNGO wa Konya Amputee inayoshiriki Ligi ya Walemavu Uturuki, Ramadhan Chomelo amesema haukuwa msimu mzuri kwa upande wao kutokana na ushindani kuongezeka huku kwa upande wake akitakiwa kufanya...

    CHOMELO Pict
  4. Miroshi ashindwa kuandika rekodi Ulaya

    KIRAKA wa Goztepe inayoshiriki Ligi Kuu ya Uturuki, Novatus Dismas Miroshi ameshindwa kuandika historia nyingine kwenye michuano ya Ulaya baada ya chama lake kumaliza nafasi ya nane kwenye...

    MIROSHI Pict
  5. Majeraha yamtibulia Kachwele Marekani

    STRAIKA wa Whitecaps FC anayecheza kwa mkopo Vancouver Whitecaps inayoshiriki Ligi Kuu Marekani (MLS), Cyprian Kachwele amesema msimu huu ameuanza vibaya baada ya kupata majeraha ya nyama za paja.

    KACHWELE Pict
  6. JKT Queens yaanza na kocha

    WAKATI JKT Queens ikijiandaa na mashindano ya Cecafa ili kufuzu Ligi ya Mabingwa Afrika imeanza marekebisho ya benchi la ufundi ikidaiwa kumalizana na kocha mkuu Ester Chabruma ‘Lunyamila’.

    JKT Pict
  7. Hili hapa Chama la Baum Ujerumani

    WIKI zilizopita RB Leipzing ilimtambulisha kiungo Lisa Baum ambaye ana asili ya nchi mbili Tanzania na Ujerumani.

    CHAMA Pict
  8. Clara awavuruga mabosi Al Nassr

    MOTO wa mshambuliaji wa Kitanzania, Clara Luvanga unazidi kuwachanganya viongozi wa Al Nassr ya Saudia na inaelezwa wako kwenye mchakato wa kumboreshea mkataba wake uliosalia mwaka mmoja.

    CLARA Pict
  9. Beki KMC mambo bado Al Hilal

    BEKI wa pembeni wa KMC, Raheem Shomary aliyeripotiwa kupewa ruksa ya kwenda kujiunga na Al Hilal ya Sudan, amekiri mambo bado, kwani hakijaeleweka, ila anajipa moyo muda si mrefu kila kitu...

    BEKI Pict
  10. Mwalimu anaingia katika mfumo

    KITENDO cha mshambuliaji wa Kitanzania, Seleman Mwalimu ‘Gomez’ kucheza dakika 10 katika mechi ya kimataifa ya kirafiki kati ya Wydad AC na Sevilla, kimewaibua makocha wakimsifu kuwa anaingia...

    MWALIMU Pict

Page 1 of 73

Next