KULA BATA: Ndo muda wa mastaa Bongo kujiachia JUNI 29 itakuwa tamati ya msimu wa mashindano ya soka Bara wakati itakapopigwa mechi ya fainali ya Kombe la Shirikisho (FA), kati ya Yanga ambayo ni bingwa mara tatu mfululizo dhidi ya Singida...
TFF, TAKUKURU waanze na kiongozi KenGold HIVI karibuni wakati tunasikiliza kipindi cha michezo cha kituo fulani hivi cha redio, kiongozi mmoja wa KenGold ya Mbeya akatoa tuhuma nzito za rushwa kwa baadhi ya maofisa na wachezaji wake.
Simba wacheze tu Kariakoo Dabi HAPA kijiweni tuna imani Simba itacheza mechi yake ya marudiano ya Ligi Kuu Bara msimu huu dhidi ya mtani wake, Yanga ambayo imezoeleka kwa jina la Kariakoo Dabi.
Mzize ana akili ya kizungu kimtindo WACHEZAJI wa kizungu huwa wanazipa heshima na kuzithamini sana timu ambazo zimewapa fursa ya kujitangaza na kuingia katika daraja la juu kiushindani.
Fountain Gate, Tabora zimepishana kidogo tu KIJIWENI kwetu hapa tulikuwa tunautazama msimamo wa Ligi Kuu Bara wakati huu ambao zimebaki raundi mbili msimu wa 2024/2025 umalizike.
Salim, Abel ndio wanamponza Camara MOUSSA Camara ni kipa mzuri lakini amekuwa na makosa fulani hivi yanayoigharimu Simba, huo ndio ukweli mchungu hata kama unauma.
Maisha yameenda kasi sana kwa Yao YAO Kouassi Attohoula alipokuja kujiunga na kuanza kuitumikia Yanga, mambo yalimwendea vizuri sana hadi akateka hisia za mashabiki wa timu hiyo na wadau wengi wa soka.
PRIME Job amaliza utata Yanga KIPINDI hiki cha kuelekea kumalizika kwa msimu, taarifa ambazo Wanayanga wanahitaji kuzisikia mbali na mambo mengine, ni maendeleo ya kikosi chao na mustakabali wa mastaa wa kikosi hicho hasa...
Makocha Ligi ya U20 hamna baya wanangu SOKA limepigwa hasa katika 8-Bora ya Ligi Kuu ya soka kwa Vijana wenye umri chini ya miaka 20 nchini na mvuto zaidi ulikuwa kwenye nusu fainali.
Tumewachokoza wakubwa sasa wanatupora HIZI habari za timu mbalimbali maarufu barani Afrika kuanza mikakati ya kuchukua wachezaji muhimu na tegemeo wa timu zetu kubwa hapa nchini za Simba na Yanga hazitakiwi kuchukuliwa poa.