Mwimbaji kutoka Kenya ambaye pia ni mzazi mwenza wa msanii Diamond Platnumz, Tanasha Dona amewasili nchini usiku huu wa Januari 22 akiwa na mtoto wake wa miaka miwili aliyezaa na Diamond...
Wengi mwaka jana walinyuti. Hawakutoa kazi kwa hofu ya corona. Alikiba hakujali hilo. Katikati ya mapambano ya corona akaachia dude Dodo! Yes...
BASI bwana!, Mama mzazi wa msanii Diamond Platnumz, Bi. Sandra maarufu kama ‘Mama Dangote’ akaamua kupindua meza ya Harmonize kibabe kwa madai...
Rais mpya wa Marekani, Joe Biden aliapishwa jana Januari 20 huku tukio la kuapishwa kwake likisindikizwa na utumbuizaji kutoka kwa wasanii...
MSANII Harmonize ametimiza miaka mitano tangu atoke na kutambulika rasmi kwenye muziki wa Bongo Fleva.
Wimbo uliomtoa kimuziki uitwayo Aiyola...