Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

699 results for Victoria Melkiad :

  1. PRIME Simba yakomaa na kiungo CS Sfaxen

    WEKUNDU wa Msimbazi wamekosa kila kitu msimu huu katika mashindano ndani ya nchi, ambapo katika michuano yote wamepishana kidogo na makombe, kwani Ligi Kuu Bara wangeshinda mechi ya mwisho basi...

    KIUNGO Pict
  2. PRIME Makombe matatu yawagawa mabosi Yanga

    ULILIONA vaibu la Yanga juzi kuanzia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere pale Dar? Je unajua lile vaibu lilitokana na nini? Kina nani walioteka ile shoo? Sikia, achana na mambo...

    HAMDI Pict
  3. Yanga yatumia wimbo wa Ali Kiba kuikebehi Simba 

    Yanga imefika Makao makuu ya mtani wake Simba, hapo kukaa kidogo lakini gumzo ni pale walipoamua kuwakebehi kwa kuimba wimbo wa klabu hiyo uliopigwa na msanii Ali Kiba.

  4. Nyomi la mashabiki lawapokea mastaa Yanga

    Baada ya mastaa wa Yanga kutoka katika Uwanja wa Ndege, wamepokelewa na nyomi la mashabiki ambao wamejaa barabarani wakiisindikiza timu yao.

  5. Mbosso na Aviola laivu Jangwani 

    Katika makao makuu ya Yanga hapatoshi, baada ya klabu hiyo kumshusha msanii Mbwana Kilungi maarufu kwa jina la Mbosso Khan.

  6. Kipre akunjua moyo kwa Fei Toto

    WAKATI msimu ukimalizika, staa wa zamani wa Azam FC, Kipre Junior ameweka wazi jina la kiungo mwenzake aliyemkosha zaidi msimu huu na kupiku rekodi yake, akimtaja Feisal Salum.

    KIPRE Pict
  7. PRIME Mpanzu, wenzake wana wiki mbili tu

    SIKU chache tangu washindwe kuhimili kishindo cha Yanga na kukubali kichapo cha mabao 2-0 wakifunga msimu wa 2024-2025 bila taji, mastaa wa Simba akiwamo Elli Mpanzu na Jean Charles Ahoua...

  8. Simba, Yanga mmesikia huko? Sillah aaga Azam!

    KIUNGO mshambuliaji wa Azam FC, Gibrill Sillah amewaaga mashabiki na uongozi wa timu hiyo leo kupitia ukurasa wake wa Instagram.

  9. Diao anateseka kwa Bacca, Job

    MSHAMBULIAJI wa Azam, Alassane Diao amesema tangu aanze kucheza Ligi Kuu Bara nyota waliompa wakati mgumu ni Ibrahim Bacca na Dickson Job.

  10. Pamba Jiji yaendelea kusajili kimya kimya

    BAADA ya kumalizana na kiungo mshambuliaji wa zamani wa Simba aliyekuwa Napsa Stars ya Zambia, Larry Bwalya, Pamba Jiji imeendelea kufanya yake kimyakimya ikidaiwa inazungumza na mshambuliaji...

    PAMBA Pict

Page 1 of 70

Next