Dili la kiungo Sfaxien Simba lafikia patamu, ishu nzima ipo hivi
SIMBA haitanii. Ikiwa imeshatinga robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, huku ikiongoza msimamo wa Ligi Kuu Bara, mabosi wa klabu hiyo hawajalala kwani wameanza kusaka mastaa wa msimu ujao...