Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8652 results for Mwandishi :

  1. Uchaguzi waipa Simba mamilioni

    KAMATI ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba jana ilimalizia zoezi lake la awamu ya pili ya kufanya usaili kwa wagombea, huku watano wakifyekwa kabla hata ya usaili huo kwa kukosa vigezo vilivyotakiwa.

  2. Buswita, Makame kupelekwa kamati ya maadili

    WACHEZAJI sita wa Polisi Tanzania wanatarajia kupelekwa kwenye Kamati ya Maadali kutokana na makosa ya utovu wa nidhamu.

  3. Kaburu aiburuza Simba TFF

    ALIYEKUWA mgombea wa nafasi ya uenyekiti katika uchaguzi mkuu wa Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’, aliyekatwa jina lake ameliamsha baada ya kuiburuza Kamati ya Uchaguzi wa klabu hiyo kwa Shirikisho...

  4. Tuisila kumvuta Mundele Yanga

    YANGA sasa inazungumza na mshambuliaji wa AS Vita, Makusu Mundele ambaye nusu msimu uliopita aliichezea Orlando Pirates ya Afrika Kusini. Mundele bado ni mchezaji halali wa Vita akiwa na mkataba...

  5. Okwa, Kanoute waliamsha Simba

    NYOTA saba waliokwama kuwepo kambi ya maandalizi ya timu ya Simba kwa msimu mpya (pre season) akiwamo Nelson Okwa na Sadio Kanoute jana walijumuika wenzao kwenye mazoezi ya timu hiyo iliyorejea...

  6. Musonda ataka bao la mapema

    BAADA ya kutwaa taji lake la kwanza akiwa na Yanga mshambuliaji Kennedy Musonda amefunguka kuwa ametua timu bora yenye uchu wa mataji anajiona akitwaa taji la Afrika na kuandika rekodi mpya.

  7. Yacouba aipeleka Yanga robo fainali ASFC

    Bao la dakika ya 53 likifungwa na mshambuliaji Yacouba Sogne limetosha kuivusha Yanga kwenda hatua ya Robo fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) baada ya kuwachapa wenyeji Prisons kwa bao...

  8. Azam FC yasajili beki kutoka Mali

    AZAM FC imefikia makubaliano na Akademi ya Yeleen Olympique ya Mali kwa ajili ya kumnunua mchezaji wa kimataifa wa nchi hiyo, Yoro Mamadou Diaby. Mlinzi huyo wa kati ambaye alikuwa kwa mkopo...

  9. PRIME Ngoma aipa masharti Simba

    KIUNGO mkabaji wa Simba, Fabrice Ngoma amewapa masharti uongozi wa klabu hiyo, kama wanataka aendelee kusalia kikosini hapo, wasajili wachezaji wenye moyo wa kuipambania timu.

  10. Mourinho aichimba mkwara Chelsea, atamba kuinyamazisha

    Kocha wa Benfica ya Ureno, Jose Mourinho ametamba kuinyamazisha Chelsea katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, itakayochezwa leo Septemba 30, 2025 kwenye Uwanja wa Stamford Bridge jijini London.

Previous

Page 96 of 866

Next