Andrea Berta rasmi atua Arsenal ARSENAL imethibitisha uteuzi wa mkurugenzi mpya wa michezo, Andrea Berta, ambaye kazi yake kubwa itakuwa kufanya usajili wa kuleta mastaa wapya kwenye kikosi hicho cha kocha Mikel Arteta.
Mastaa hawa 13 wapambania maisha LIGI Kuu England imebakiza mechi tisa tu huku kukiwa na orodha ya mastaa kibao wanaopambania maisha yao kujua hatima yao kwa msimu ujao.
Mbappe afunga friikiki, mashabiki wakataa SUPASTAA, Kylian Mbappe amefunga bao lake la kwanza kwa mpira wa adhabu, lakini mashabiki wanambishia kwamba hilo halikuwa bao la friikiki.
Amorim kumpa nafasi Bukayo Saka mpya KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim ameripotiwa kwamba yupo kwenye mipango ya kumpa nafasi ya kucheza kinda wa kikosi hicho cha Old Trafford ambaye analinganishwa kiuchezaji na winga wa...
Real Madrid yatibua dili la Zubimendi Arsenal LICHA ya Arsenal kuripotiwa imeshafanya makubaliano ya kumsajili Martin Zubimendi dirisha lijalo, ripoti zinadai mkurugenzi mpya wa michezo, Andrea Bertilazima aendelee kupigana na Real Madrid...
Liverpool kwa Alexander-Arnold njia ni hii MCHEZAJI wa zamani wa Liverpool, Stephen Warnock anaamini bado kuna nafasi Trent Alexander-Arnold akaendelea kubaki Anfield msimu ujao.
Ekitike azidi kuwa lulu Ujerumani MSHAMBULIAJI wa Eintracht Frankfurt, Hugo Ekitike ameziweka njiapanda timu kubwa England zinazohitaji saini yake dirisha ljalo.
Serengeti Boys mzigoni leo KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Tanzania chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys, Jumatatu hii kitacheza dhidi ya Zambia katika mechi ya kwanza ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya...
PRIME Mzize akutana na Wydad AC SIKU za mshambuliaji Clement Mzize ndani ya Yanga ni kama zinahesabika baada ya kubakiza hatua moja tu kukamilisha dili lake la kutua Wydad Athletic ya Morocco.
Mo Dewji alivyochochea mageuzi ya soka Tanzania Wakati jarida la Forbes likimuorodhesha Mohammed Dewji (MO) kuwa bilionea wa 12 barani Afrika katika chati mpya ya 2025, klabu ya Simba ni taasisi ya michezo iliyonufaika na utajiri huo.