Arteta vs Maresca vita ya kwanza ya taji Cardiff LEO Jumapili, Arsenal na Manchester City zitashuka dimbani kuwania Ngao ya Jamii (Community Shield) ya msimu wa 2026/27, mchezo ambao kwa kawaida huwa pazia la ufunguzi wa msimu mpya wa soka...
Badiashile pasua kichwa, Napoli ikiongeza mzigo NAPOLI inadaiwa kwamba imeongeza fungu la pesa ili kumsajili beki wa kati wa Chelsea, Benoit Badiashile, ambapo mazungumzo yanaelekea ukingoni kati ya klabu hizo pamoja na wawakilishi wa mchezaji...
Baada ya miaka 18 NBA Westbrook astaafu NYOTA wa kikapu wa Sacramento Kings, Russel Westbrook ametangaza kustaafu baada ya kucheza kwa mafanikio makubwa NBA kwa kipindi cha miaka 18.
Chelsea yamsubiri Enzo Fernandez Hata hivyo, Manchester City haimthamini kiungo huyo kwa bei ya pauni 120 milioni ambayo Chelsea imeweka.
Cristian Romero aaga Spurs NAHODHA wa Tottenham, Cristian Romero, amewaaga mashabiki wa klabu hiyo kabla ya kuthibitisha uhamisho wake kwenda Atletico Madrid
Arsenal yapewa tahadhari kwa Osimhen Galatasaray tayari imekataa ofa yenye thamani ya pauni 111 milioni kutoka kwa klabu ya Saudi Arabia, Al-Hilal, kwa ajili ya mshambuliaji Victor Osimhen jambo linaloonesha kuwa ni kama onyo kwa...
Sikia kituko cha LeBron NANI kakuambia ukiwa bilionea ni lazima ununue bando? Lile la kutumia intaneti katika simu yako? Supastaa mpya katika kikosi cha Philadelphia 76ers kinachoshiriki Ligi ya Kikapu Marekani (NBA).
Huyu nd'o bingwa mpya LaLiga 2026/27 NANI atatwaa ubingwa wa Ligi Kuu Hispania (La Liga) msimu wa 2026/27? Ni timu zipi zitafuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya? Na ni zipi zitashuka daraja? Maswali yote hayo muhimu yanajibiwa kupitia...
Mtego mpya wa mafundi wa mipira iliyokufa EPL 2026/27 MSIMU mpya wa Ligi Kuu England umewadia. Makocha wanaendelea kuboresha vikosi. Hata hivyo huenda ukawa umeanza huku kila timu ikijiweka sawa katika namna kuicheza na kuidhibiti mipira iliyokufa...
Yanga inaanza safari ya kutetea ubingwa Ligi Kuu SAFU ya ulinzi ya Namungo leo inalazimika kuwa katika kiwango bora na kucheza kwa nidhamu kubwa dhidi ya Yanga ili iondoke na pointi nyumbani katika mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Tanzania Bara...