Gordon kutibua utawala wa Yamal Barca LAMINE Yamal alikuwa mchezaji wa Barcelona aliyepiga penalti nyingi zaidi katika msimu wa 2025-26, ambapo alifanya hivyo mara saba katika mashindano yote, ikiwa ni mbili zaidi ya Raphinha. Hata...
Mbappe atuma onyo kali kwa Messi na Argentina NAHODHA na mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa, Kylian Mbappe tayari ameanza kufikiria kuhusu kile kinachoweza kuwa moja ya simulizi kubwa zaidi za Kombe la Dunia 2026, ikiwa nchi hiyo na...
Bao la Khoukhi dakika za mwisho laiokoa Qatar Kombe la Dunia Qatar imeukataa unyonge baada ya kugomea kipigo mbele ya Uswisi, ikisawazisha dakika za jioni mchezo ukimalizika kwa sare ya bao 1-1.
Dar city, Veins nje ya BDL DAR City na Veins BC ndizo zinazoongoza kwa kuwa na nyota wazawa wengi ziliowasajili katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) 2026, jambo linaloonyesha kwamba nje ya uwanja zimeonyesha...
KAMA ZALI: Senesi kutoka fukwe za Ibiza hadi Kombe la Dunia WAKATI wachezaji wengi wakitumia kipindi hiki kupumzika baada ya msimu mrefu, beki mpya wa Tottenham Hotspur, Marcos Senesi amejikuta akikatisha likizo yake baada ya kupata zali la mentali.
Kwa nini Jamhuri ya Czech sasa inaitwa Czechia? WAKATI Kombe la Dunia likiendelea, mashabiki wengi wamegundua mabadiliko ya kushangaza, kwam-ba timu iliyokuwa ikijulikana kama Jamhuri ya Czech sasa inaitwa rasmi Czechia.
Canada yashindwa kutamba nyumbani ikilazimishwa sare Timu ya Taifa ya Canada imeshindwa kutamba kwenye ardhi yake ya nyumbani baada ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Bosnia&Herzegovina.
KMC rasmi imeshuka daraja baada ya misimu nane Ligi Kuu Klabu ya Soka ya Manispaa ya Kinondoni (KMC FC) imeshuka rasmi daraja na itashiriki Ligi ya Champion-ship msimu ujao baada ya kudumu kwa misimu minane mfululizo katika Ligi Kuu Tanzania Bara.
Partey anyimwa viza kuingia Canada Kombe la Dunia WAKATI Ghana ikijiandaa kucheza mechi yake ya kwanza ya Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Panama Alhamisi ijayo mjini Toronto nchini Canada, itaikosa huduma ya kiungo wake, Thomas Partey.