Matonya apandishwa kizimbani Kenya, atuhumiwa kwa ubakaji
Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva, Sefu Shabani 'Matonya', leo Alhamisi Aprili 9, 2026 alifikishwa mahakamani katika eneo la Shanzu, Kaunti ya Mombasa nchini Kenya akikabiliwa na shtaka la...