Simba, Yanga zatajwa Congo MMADAGASCAR Randriamanantena Heritiana ambaye anacheza soka la kulipwa visiwani Ngazija huko Comoro, ameuzungumzia mchezo wa Simba dhidi ya Yanga utakaopigwa kesho kwenye Uwanja wa Mkapa kwa...
Mwamuzi Mtanzania aanza England MWAMUZI Mtanzania Ericsson Temu, anayeishi nchini England ameanza kuchezesha mechi yake ya kwanza tangu alipofuzu vipimo vya afya.
Hasira za K’Ogalo kwa Vihiga Bullets GOR Mahia wanashuka dimbani leo kuwakabili Vihiga Bullets katika mwendelezo wa mechi za Ligi Kuu Kenya baada ya kutolewa kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Tanzania yashinda medali 9 za dhahabu Afrika Waogeleaji tisa wa Tanzania, wameanza kwa kishindo mashindano ya Afrika ya kanda ya tatu (Cana Zone 3) yaliyoanza leo kwenye bwawa la kuogelea la shule ya Kimataifa ya Kampala nchini Uganda.
Rick Ross kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro Rapa wa Marekani, Rick Ross, amefika juu ya kilele cha mlima wa Kilimanjaro, uliopo nchini Tanzania, baada ya watu waliopanda mlima huo kwenda na picha yake kwenye kilele cha mlima huo.
Simba waibua mazito mkataba wa GSM na TFF Uongozi wa Simba umepanga kugomea kuvaa jezi zenye nembo ya mdhamini mwenza wa Ligi Kuu, kampuni ya GSM kwa madai ya kutokuwepo kwa uwazi wa mkataba kati ya Shirikisho la Mpira wa Miguu...
Wawa atema cheche Simba BEKI mkongwe wa Simba, Pascal Wawa amesema siri kubwa ya yeye kurejea kikosi cha kwanza imetokana na kujitambua katika kupigania kiwango chake muda wote ili kuweza kucheza timu hiyo.
Simba, Yanga watambiana KUELEKEA Jumamosi kwenye mechi ya Ligi Kuu ya NBC itakayowakutanisha watani wa jadi, Simba na Yanga, pande zote mbili zimetamba kuibuka na ushindi katika mchezo huo.
Tamu, chungu Pablo wachezaji Simba JUZI, Simba ilitinga kwa mara ya kwanza hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika licha ya kufungwa bao 2-1 na Red Arrows jijini Lusaka, Zambia.
HISIA ZANGU: Dilunga ameivusha Simba katika mdomo mwingine wa mauti HASSAN Dilunga hakuwepo wakati babu yake, Maulid Dilunga pamoja na staa mwingine wa Tanzania, Omar Mahadhi walipochaguliwa katika kikosi cha kombaini cha Afrika mwaka 1974. Yaani Afrika...