Ferre Gola, Mbosso kupamba mashindano ya Miss East Africa Mwanamuziki kutoka Jamhuri ya Kongo, Ferre Gola na Yusufu Mbwana 'Mbosso' kutoka Tanzania watapamba shindano la Miss East Africa.
Wasanii, nyimbo zilizosikilizwa zaidi Spotify mwaka 2021 Zaidi ya wasanii 100 wa muziki kutoka Tanzania waliochia ngoma mpya mwaka huu wameingiza ngoma zao kwenye mtandao mkubwa zaidi duniani wa kusikiliza muziki wa Spotify.
Tuache udhamini kizamani, Barbara ametufikirisha WIKI iliyopita ilitawaliwa na tukio la kampuni ya GSM kuingia kwenye kapu la udhamini wa Ligi Kuu na hivyo kuibua mzozo hasa kwa klabu ya Simba ambayo imeweka bayana kuwa kuna kasoro zinazotia...
Nahodha TP Mazembe anayekiwasha Championship BILA shaka huyu ni mmoja kati ya wachezaji wenye wasifu mkubwa zaidi hapa nchini ukilinganisha na wachezaji wengine kutokana na timu alizopitia na mafanikio aliyopata.
JICHO LA MWEWE: Mapacha walivyotoka pacha Lupaso kwa Mkapa HATUKUTAZAMIA iwe hivyo lakini katika mechi ambayo tunamtafuta mchezaji bora wa mechi kupitia safu za ulinzi za timu zote mbili, ni wazi kwamba hautashangazwa kusikia pambano lenyewe la watani...
Hizi ndio ngoma ulizosikiliza kupitia Boomplay , 2021 Boomplay, App namba moja ya kusikiliza na kupakua muziki iliyo chini ya Kampuni ya Transsnet Music Limited imeonyesha matarajio makubwa ya kupaa kwa tasnia ya muziki wa Tanzania katika anga...
Morice amkosha kocha wake MCHEZAJI kinda wa Tanzania, Morice Abraham, 18, ambaye anacheza soka la kulipwa nchini Serbia kwenye klabu ya Spartak Subotica ameonakana kumkosha kocha wake, Vladimir Gacinovic kiasi cha...
Chama la Samatta latabiriwa ubingwa MWENENDO wa Royal Antwerp F.C. ambayo anaichezea nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta nchini Ubelgiji umewaibua Watanzania wanaoishi nchini humo na kusema kuwa wanaweza kutwaa ubingwa wa ligi...
Msuva wala hana presha na makundi NYOTA wa Wydad Casablanca, Simon Msuva amesema wala hana presha ya timu ambazo wanaweza kupangwa nazo kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika ambayo inatarajiwa kuanza kutimua vumbi...
Simba katika njia ngumu ya kusaka taji Afrika Wawakilishi wa Tanzania katika mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika Simba, wamefanikiwa kutinga hatua ya makundi baada ya ushindi wa jumla wa mabao 4-2 dhidi ya Red Arrows ya Zambia...