Sir Jim Ratcliffe: Mabadiliko yameanza kuzaa matunda TAJIRI wa Manchester United, Sir Jim Ratcliffe amesema kuwa baadhi ya maamuzi aliyoyafanya ndani ya Manchester United yanaanza “kuzaa matunda”.
CR7 kufungua baa, hoteli huko England SUPASTAA Cristiano Ronaldo amefichua mpango wake wa kupanua biashara yake ya hoteli na baa huko England.
Tyson afunguka pambano la Mayweather BONDIA mkongwe, Mike 'Iron' Tyson ametoa taarifa muhimu kuhusu pambano linalosubiriwa kwa hamu kati yake na Floyd Mayweather.
Hansi Flick aipa ubingwa Barca saa chache baada ya kufiwa KOCHA wa Barcelona, Hansi Flick, ameiongoza timu hiyo kutwaa ubingwa wa LaLiga kwa kuwachapa mahasimu wao, Real Madrid mabao 2-0, saa chache baada ya kufiwa na baba yake.
Wakala wa Haaland afichua siri ya mkataba mpya WAKALA wa Erling Haaland amesema hawakuwa na nguvu yoyote ya kushinikiza kupata masilahi makubwa zaidi kwa Manchester City wakati wa mazungumzo ya kuongeza mkataba wa mshambuliaji huyo wa...
Tanzania yalipa CAF zaidi ya Sh80 Bilioni uwenyeji AFCON 2027 Serikali ya Tanzania imelipa Dola Milioni 32 (zaidi ya Sh80 Bilioni) kwa Confederation of African Football (CAF) kama sehemu ya masharti ya kuwa mwenyeji wa mashindano ya Africa Cup of Nations...
Carrick awaonya mastaa kuhusu UEFA KOCHA wa mpito wa Manchester United, Michael Carrick amewaonya mapema mastaa wake wasitegemee nafasi ya tano kwenye msimamo wa Ligi Kuu England inatosha kufuzu michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya...
Forest yajinasua kwenye hatari ya kushuka daraja EPL USHINDI wa mabao 5-0 ambao iliupata Nottingham Forest jana Ijumaa ikiwa ugenini dhidi ya Sunderland katika mchezo wa Ligi Kuu England, umeisaidia timu hiyo kuwa mbali na hatari ya kushuka daraja...
Wakala wa Lewandowski atua Italia BAADA kutangazwa kuwa ataachana na Barcelona mwisho wa msimu, wakala wa staa wa kimataifa wa Poland, Robert Lewandowski, 37, ameripotiwa kufunga safari hadi Italia kukutana na wawakilishi wa...
PSG yatwaa ubingwa wa tano ‘back to back’ Ligue 1 Paris Saint-Germain imefanikiwa kutwaa ubingwa wa tano mfululizo wa Ligi Kuu ya Ufaransa, Ligue 1 baada ya kuichapa Lens mabao 2-0.