Teknolojia mpya ya 'offside' Kombe la Dunia usipime SUALA la waamuzi wasaidizi kuchelewa kuinua kibendera cha kuotea huenda ikawa historia baada ya FIFA kutangaza teknolojia mpya itakayotumika katika Kombe la Dunia 2026.
Man United yaachana rasmi na Hojlund akienda Napoli Rasmus Hojlund amekamilisha rasmi uhamisho wa Pauni 38 milioni kutoka Manchester United kwenda Napoli, klabu hiyo imethibitisha.
Liverpool, Iraola ni suala la muda tu LIVEROOL imefikia makubaliano ya awali ya maneno na kocha Andoni Iraola ili awe kocha mkuu mpya wa klabu hiyo kufuatia kufutwa kazi kwa Arne Slot.
Fifa kuijaza mamilioni ya dola Man City LONDON, England. Manchester City ni moja ya timu itakayovuna fedha nyingi zaidi kutoka FIFA baada ya kutoa wachezaji wengi zaidi 19, wakaoshiriki katika Kombe la Dunia la 2026 kuanzia Juni 11...
Man United, Ederson imeisha hiyo LONDON, England: Manchester United wamefikia makubaliano ya kulipa pauni35 milioni ili kumsajili kiungo wa Atalanta, Mbrazili Ederson.
Enciso kuongoza ndoto za Paraguay Kombe la Dunia 2026 PARAGUAY itashiriki fainali za Kombe la Dunia 2026 ikiwa na matumaini makubwa ya kufanya vizuri baada ya kurejea kwenye mashindano hayo kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2010, Afrika Kusini.
Serengeti Boys yazoa tuzo, ikipoteza fainali AFCON kwa Senegal Matumaini ya Serengeti Boys kutwaa ubingwa wa AFCON U17 yamezimwa katika mchezo wa fainali jana jijini Rabat, Morocco baada ya kupoteza kwa mikwaju ya penalti 4-2 mbele ya Senegal.
Fainali NBA mambo yanaanza HATIMAYE pazia la Fainali za NBA limefunguliwa leo alfajiri, huku New York Knicks na San Antonio Spurs zikikabiliana katika vita ya kuwania ubingwa unaoweza kumaliza ukame wa muda mrefu wa mataji...
Petit ataka washambuliaji Arsenal wauzwe KIUNGO wa zamani wa Arsenal, Emmanuel Petit, ameishauri klabu hiyo kuwauza Gabriel Martinelli, Noni Madueke na Gabriel Jesus kabla ya kuanza kwa msimu ujao.
Vigogo Hispania wakomaa kumngoa Cucurella Chelsea BEKI wa kushoto wa Chelsea na Hispania, Marc Cucurella, 27, huenda akarejea Hispania baada ya klabu kadhaa kuwasiliana na wawakilishi wake kuhusu uwezekano wa kumung'oa Stamford Bridge dirisha...