Harry Maguire aongezewa adhabu England CHAMA cha soka cha England, kimethibitisha Harry Maguire ataukosa mchezo wa Manchester United dhidi ya Chelsea baada ya kuongezewa adhabu ya kufungiwa mechi moja zaidi.
Anthony Gordon, Ndiaye watajwa Liverpool LIVERPOOL inataka kuimarisha safu yake ya ushambuliaji msimu ujao na inawaangalia mastaa wawili ambao ni winga wa Newcastle United na England, Anthony Gordon, 25, pamoja na mshambuliaji wa...
Hakuna namna! Mastaa kibao kuuzwa Liverpool LIVERPOOL inajiandaa kuuza baadhi ya wachezaji wao tegemeo dirisha lijalo la majira ya kiangazi ili kufidia kiasi kikubwa ilichotumia katika usajili wa mastaa kwa miaka miwili iliyopita.
Pigo Arsenal, Madueke aondoka kwa kuchechemea! ARSENAL imezidi kupata pigo kubwa la majeraha baada ya Noni Madueke kulazimika kutoka uwanjani katika mechi yao dhidi ya Sporting Lisbon.
Nusu fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya ni ‘fainali kabla ya fainali' BAADA ya vigogo wakubwa wa soka Ulaya kuaga mashindano katika hatua ya roibo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, minong'ono imebaki kwa nne zilizofuzu nusu fainali, nani atatinga fainali?
Konate, Liverpool kuna jambo wanapika pembeni BEKI wa kati wa Liverpool, Ibrahima Konate, 26, yupo karibu kufikia makubaliano ya kusaini mkataba mpya wa kuendelea kusalia Anfield.
Europa League, Conference League zapamba moto leo robo fainali UKISIKIA funga kazi basi ndio hii. Baada ya usiku wa jana, Jumatano kumalizika kwa kishindo kwa michezo ya robo fainali za Ligi ya Mabingwa Ulaya, leo ndio leo ambapo hesabu za michuano midogo...
Muungano Cup 2026 kuzinduliwa Ijumaa MAANDALIZI ya mashindano yanayosubiriwa kwa hamu ya Kombe la Muungano yamezidi kushika kasi kufuatia kuthibitishwa kwa timu zote nane zitakazoshiriki.
Fikiri Elias aweka rekodi ya kwanza Coastal KOCHA Fikiri Elias, ameanza na mguu mzuri ndani ya Coastal Union akifanikiwa kuweka rekodi ambayo watangulizi wake wameishindwa.
Kiungo England ampa ujauzito binti wa kocha wake Kiungo wa Sheffield United, Oliver Arblaster na binti wa kocha wake, Martha Elizabeth Wilder wamethibitisha kuwa wanatarajia kupata mtoto kutokana na uhusiano wao wa kimapenzi uliodumu kwa muda...