Uchaguzi Real Madrid waivuruga Man City MANCHESTER City wanafikiria kuchukua hatua za kisheria baada ya mgombea wa urais wa Real Madrid kuahidi kumsajili mshambuliaji wao, Erling Haaland.
Ndugu wagawa familia Kombe la dunia MAISHA yanaweza kuwa ya ajabu, hata ya kushangaza wakati mwingine. Hilo hujitokeza hasa tunapokutana na visa vya ndugu waliozaliwa na wazazi wale wale lakini wakawakilisha nchi tofauti.
Kampeni ya Mixx Kombe la Dunia yashika kasi KAMPUNI ya Mixx imejivunia kuendelea kuongezeka kwa idadi ya wateja wake pamoja na matumizi ya huduma zake za kifedha kidijitali kufuatia mwitikio mkubwa wa Watanzania katika kampeni ya “Kila...
Iraola akabidhiwa jukumu Liverpool KOCHA Andoni Iraola amesema anaelewa “kile kinachotarajiwa” kwake, lakini yuko tayari kukabiliana na changamoto mpya baada ya Liverpool FC kuthibitisha kuwa ndiye kocha wao mkuu mpya.
Babu Ferguson aonekana hadharani KOCHA wa zamani wa Manchester United, Sir Alex Ferguson, mwenye umri wa miaka 84, ameonekana hadharani kwa mara ya kwanza tangu alipopelekwa hospitalini mwezi Machi kutokana na kuugua ghafla.
Ronaldo aongoza wakongwe Kombe la Dunia 2026 Kocha mkuu wa WAKATI dunia ikisubiri kuanza kwa Fainali za Kombe la Dunia 2026 zitakazoshirikisha timu 48 kwa mara ya kwanza katika historia, takwimu za vikosi vilivyotangaza majina ya mwisho...
Nyota hawa tumaini jipya la Afrika 2026 NDOTO ya Afrika ni kuona mmoja kati ya mataifa 10 wakiweka rekodi kufika fainali kama si kutwaa ubingwa kwa Kombe la Dunia itakayofanyika Marekani, Mexico na Canada kuanzia Juni 11 hadi Julai 19,...
Davido kutumbuiza Kombe la Dunia Mwanamuziki Davido amethibitishwa kuwa mmoja wa wasanii watakaotumbuiza katika tamasha la awali la kuelekea Kombe la Dunia la FIFA 2026, litakalofanyika Juni 10, Jijini Los Angeles, Marekani.
Mourinho amtaka beki Calafiori aletwe Real Madrid Kocha wa Real Madrid, Jose Mourinho anataka kumsajili beki wa Arsenal, Riccardo Calafiori, kama sehemu ya mpango wake wa kuijenga upya timu hiyo yenye maskani yake kwenye Uwanja wa Santiago...
New York Knicks yaiduwaza Spurs NBA New York Knicks imeanza kwa kishindo mfululizo wa fainali za NBA baada ya kuichapa San Antonio Spurs kwa pointi 105-95 katika mchezo wa kwanza wa fainali.