Arajiga, Kayoko wapewa kibarua kizito Ligi ya Mabingwa Afrika
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), limewateua waamuzi wa Tanzania, Ahmed Arajiga, Mohamed Mkono, Kassim Mpanga na Ramadhan Kayoko kuchezesha mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya...